MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kwa hiyo wanatumia hela ili wapendwe. Kazi kwao..zikiisha hizo hela za interest wanazoiba kutoka USA.
Kwa hiyo wewe tatizo lako ni kwamba wana tumia pesa zao kupendwa? Every government in the worlduses PR. Hata Tanzania iki tanganza utalii wake that's PR. Unless uniambie kuna kitu kingine kuhusu wao kinacho kusumbua. Hivi tatizo ni nini haswa?