Historia inaonesha kwamba Mayahudi (Jews) ni watu wanaolaumiwa kwa kila jambo baya linalotokea duniani; kuanzia kwenye individual level mpaka kwenye State level.
Matatizo haya yalianzia Mid East; ambapo Waislamu na Wakristo walikuwa wanawalaumu Mayahudi kwa kuwaua mitume ya mungu. Kwenye 7th century ikaendelea hadi Europe.
Europe walipokuwa na matatizo makubwa ya disease kama Black Death; ambayo iliuwa karibu nusu ya population ya Europe, walikuwa wanawaulumu Mayahudi kuwa ndiyo chanzo cha hayo maradhi. Nchi kama Germany, Russia zilikuwa zinaonesha hadharani chuki yao dhid ya Mayahudi.
Je kuna SIRI gani inayofanya race zote duniani kuwachukia Mayahudi? Kama Mayahudi ni smart ndiyo maana watu wanawachukia; kwanini watu wasiwachukie Wajapan ambao ni magenius?
Matatizo haya yalianzia Mid East; ambapo Waislamu na Wakristo walikuwa wanawalaumu Mayahudi kwa kuwaua mitume ya mungu. Kwenye 7th century ikaendelea hadi Europe.
Europe walipokuwa na matatizo makubwa ya disease kama Black Death; ambayo iliuwa karibu nusu ya population ya Europe, walikuwa wanawaulumu Mayahudi kuwa ndiyo chanzo cha hayo maradhi. Nchi kama Germany, Russia zilikuwa zinaonesha hadharani chuki yao dhid ya Mayahudi.
Je kuna SIRI gani inayofanya race zote duniani kuwachukia Mayahudi? Kama Mayahudi ni smart ndiyo maana watu wanawachukia; kwanini watu wasiwachukie Wajapan ambao ni magenius?