Kwanini dadaz/wanawake wengi mkikopa pesa mnapenda kulipa huduma badala ya pesa?

By Mzee wa Rula Duuuuh pole acha kukopesha akina dada kama namna hiyo vinginevyo umaskini unakuita!!!!

Asante ushauri umezingatiwa
 
Eeh jamani, mwili ndio collateral yetu, tukishindwa kulipa unataifisha mwili. Benki kwenyewe ukishindwa, kiasset chako hicho kinaondoka. Tusameheni bure!
 
unamkopesha mwanamke ambaye hana kazi inayoelewaka hivi unategemea kulipwa pesa? la msingi acha kukopesha.
 
Shughuli zangu zinanikutanisha na wasichana/wanawake wengi, baadhi yao nawachukulia kama dadaz/aunt zangu. Wengi wamekuwa wananiomba mkopo wa pesa kwa ahadi za kunilipa pesa, lakini cha ajabu au kushangaza wengi wao mara baada ya kukopa jina kaka huanza kutoka kwenye kamusi ya mawasiliano mara utasikia Baby/Honey/Sweet ikifuatiwa na samahani za kizushi kana kwamba kakosea. Funga kazi ni kila ninapodai pesa zangu naishiwa kuonyeshwa dalili za kulipwa huduma badala ya cash money. Naomba ushauri tafadhali me sitaki huduma nataka mpunga wangu full stop!
Ni gea ya kukuingia kwani angelikuomba ungemwona hana maana lakini akikukopa utakapodai na kukbali kulipwa kwa namna hiyo inakuwa ni mwanzo tu akitaka tena unampa bila ya mkopo ukijuwa kuwa sasa uko kwenye biashara.
 
By Ngekewa `Ni gea ya kukuingia kwani angelikuomba ungemwona hana maana lakini akikukopa utakapodai na kukbali kulipwa kwa namna hiyo inakuwa ni mwanzo tu akitaka tena unampa bila ya mkopo ukijuwa kuwa sasa uko kwenye biashara"

Hhahahah duh Ngekewa ww ni nouma, najifunza mambo mengi
 
Just Tell them straight in a good way..thy wil understnd. Show them where u stand....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom