zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #41
Umeshasema hao ni ma dr, sasa wewe ni nani hata uvijue vifua vya dada zako wengi? Mbona hao ma dr hawajasema kama vifua vimechoka? Kama una dada nyumbani kwenu, kajaribu kumuuliza labda utapata jibu la kuridhisha
macho haya ambiwi ona....