Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Apr 22, 2010 #21 Huyo hagusiki kila anae thubutu kutaka kumgusa anajikuta kuna kadili walicheza wote huko nyuma anaamua kujitoa.
Huyo hagusiki kila anae thubutu kutaka kumgusa anajikuta kuna kadili walicheza wote huko nyuma anaamua kujitoa.
Bright Member Apr 9, 2010 67 0 Apr 22, 2010 #22 Unauliza kwa nini hashughulikiwi kisheria, kwani nje ya sheria anashughulikiwa?