Jamani wana JF:-
Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika.
Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi.
Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye kwenye account ya nje ambazo si halali.
Naomba mnieleweshe kwa nini hachukuliwi hatua za kisheria?
Ama kujiuzuru uwaziri ilikuwa tosha kama hukumu yake?
Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika.
Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi.
Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye kwenye account ya nje ambazo si halali.
Naomba mnieleweshe kwa nini hachukuliwi hatua za kisheria?
Ama kujiuzuru uwaziri ilikuwa tosha kama hukumu yake?