Kwanini Chenge hashughulikiwi kisheria?

cammory

Member
Mar 18, 2009
17
0
Jamani wana JF:-
Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika.
Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi.
Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye kwenye account ya nje ambazo si halali.
Naomba mnieleweshe kwa nini hachukuliwi hatua za kisheria?
Ama kujiuzuru uwaziri ilikuwa tosha kama hukumu yake?
 
Nani amguse huyo mtu wewe???..He is untouchable FYI. Alipogonga na kuua abiria wa bajaji, ulisikia nini kimeendelea?...we hujiulizi?
Kwa ufupi ni kwamba serikali ya Tanzania ilishamshindwa huyu kiumbe!
Na sasa yeye (kwa magazeti ya leo) ndo kaishitaki NBC kwa kutoa habari zake hadharani, na watamlipa, watake wasitake!
 
jamani wana jf:-
kutokana na kashfa ya radar inayosadikiwa kwamba amehusika.
Uingereza kukiri na kuamua kurudisha tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi.
Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye kwenye account ya nje ambazo si halali.
Naomba mnieleweshe kwa nini hachukuliwi hatua za kisheria?
Ama kujiuzuru uwaziri ilikuwa tosha kama hukumu yake?

hata hivyo anavyodai nbc ni vijisenti tu. Anawashangaa nyie mnaopiga kelele. Ukweli huyu jamaa ana dharau sana kwa watanzania.
 
Mkuu unafikiri yawezekana kweli? jamaa alikuwa Mwanasheria Mkuu, madhambi ya wakuu wote waliopita na wa sasa anayajua, sehemu kubwa ya hiyo hongo siyo yeye alichukua, ila anamfahamu aliyechukua, ndiyo maana akasema mnapoteza muda na vijisenti? na aliyechukua sehemu kubwa hagusiki. Kesi ya nyani hakimu awe ngedere?
 
Huyu ni mtu 'mkubwa' sana kuliko Tembo, ni 'mkubwa' kuliko hata CCM yenyewe.
Fikiria pamoja na tuhuma zote hizo, bado ni mjumbe wa kamati ya maadili ya CCM!
Katika nafasi kama hiyo, hakuna wa kumchukulia hatua maana ukitaka kumchukulia hatua naye ataunda hoja ya kukudhibiti kupitia kamati ya maadili (Kumbuka wabunge walivyodhibitiwa na Takukuru juu ya posho 2 mpaka wakanyamazia uozo wote wa EPA, Kiwira nk).
Tena huyu mtu ana pesa nyingi sana, kumbuka Tshs bilioni moja (1,000,000,000) kwake ni vijisenti; na watu wenye hela hawawezi kudhibitiwa kirahisi. Unakumbuka mtu mkubwa aliposema - wezi wa EPA wana hela nyingi na hivyo hawakamatiki kirahisi. Hivyo kwa kuwa anazo, anaweza kumnunua yeyote katika Tanzania.
Huyu mtu fedha zake ziko nje na kwa taratibu na mawazo ya wadanganyika, haziwezi kurudishwa. Kumbuka hata Takukuru waliposema kuwa fedha zilizowekwa nje ya nchi si rahisi kuzikamata wala kuwashtaki wahusika nk.
Katika Mazingira haya ya kuoneana haya na kulindana, hakuna wa kumshika Chenge - Kumbuka pia kuna watu wamehusisha EPA na pesa za kampeni ya CCM 2005.
 
Huyu wako level moja na RA na Eddo Lowassa ..... hawa ndiyo wanaotawala (including kuongoza) TZ!!
 
Best huyu akishitakiwa ujue serilkali imejitia kitanzini manake anakula na wakubwa!
 
Huyu ni mtu 'mkubwa' sana kuliko Tembo, ni 'mkubwa' kuliko hata CCM yenyewe.
Fikiria pamoja na tuhuma zote hizo, bado ni mjumbe wa kamati ya maadili ya CCM!
Katika nafasi kama hiyo, hakuna wa kumchukulia hatua maana ukitaka kumchukulia hatua naye ataunda hoja ya kukudhibiti kupitia kamati ya maadili (Kumbuka wabunge walivyodhibitiwa na Takukuru juu ya posho 2 mpaka wakanyamazia uozo wote wa EPA, Kiwira nk).
Tena huyu mtu ana pesa nyingi sana, kumbuka Tshs bilioni moja (1,000,000,000) kwake ni vijisenti; na watu wenye hela hawawezi kudhibitiwa kirahisi. Unakumbuka mtu mkubwa aliposema - wezi wa EPA wana hela nyingi na hivyo hawakamatiki kirahisi. Hivyo kwa kuwa anazo, anaweza kumnunua yeyote katika Tanzania.
Huyu mtu fedha zake ziko nje na kwa taratibu na mawazo ya wadanganyika, haziwezi kurudishwa. Kumbuka hata Takukuru waliposema kuwa fedha zilizowekwa nje ya nchi si rahisi kuzikamata wala kuwashtaki wahusika nk.
Katika Mazingira haya ya kuoneana haya na kulindana, hakuna wa kumshika Chenge - Kumbuka pia kuna watu wamehusisha EPA na pesa za kampeni ya CCM 2005.

Ok. Huyu mtu nadhani atakuwa ndiye yule Masiya aliyegeuza maji kuwa mvinyo na kutembea juu ya maji kama ilivyonenwa na manabii kwenye msahafu...lol!
 
Who? Andrew Chenge! the Havard law School Alumni? no way, haguswi na mtu. He is above the law, na baraza zima la mawaziri la Tanzania wanajuwa hivyo.
Atakayeanza vita anajuwa ndio utakuwa mwisho wake.
 
Jamani wana JF:-
Kutokana na kashfa ya Radar inayosadikiwa kwamba amehusika.
Uingereza kukiri na kuamua kurudisha Tanzania kiasi cha pesa zizochukuliwa kifisadi.
Kuwa na kiasi kikubwa cha pesa kwenye kwenye account ya
HTML:
nje ambazo si halali.
Naomba mnieleweshe kwa nini hachukuliwi hatua za kisheria?
Ama kujiuzuru uwaziri ilikuwa tosha kama hukumu yake?
Cammory,
Mtu hachukuliwa hatua za kisheria kwa tuhuma za kusadikika, unatakiwa uthibitisho, evidence.
Kuwa na fedha nyingi nje ya nchi sio kosa kisheria kama fedha hizo zimepatikana huko huko nje, kosa ni kama zimepatikana nyumbani, zikahamishwa isivyo halali.
Kwa mujibu wa sheria yetu, mshitaki ndie mwenye jukumu la kuthibitisha jinai, 'The burden of proof lies with the prosecution', sio jukumu la Chenge kuthibitisha uhalali wa fedha zake, anaweza kuwa amepewa sadaka na bilionea fulani na hawajibiki kumtaja wala kuthibitisha, bali kama serikali inadhani sio halali, inatakiwa ithibitishe ndipo imfikishe mahakamani.

Hii ndio Tanzania yetu, kama Kagoda kaomba bilioni 40 toka BOT kwa maandishi, fedha zikapitia account ya mtu anaeleweka humu humu nchini, zilipoingia, akazihamishia acount mbalimbali humu humu nchini na miongoni mwa accounts hizo ni za waheshimiwa zikiwemo za chama chetu kitukufu. Serikali inawajua wote tangu aliyeandika barua mpaka senti ya mwisho iliko fikia na bado ikashindwa kuchukua hatua yoyote, itakuwa vijisenti vya Chenge ambavyo serikali haina uwezo kujua vimetokea wapi, haina uwezo wa kuvizua na haina uwezo wa kumfanya chochote Mhe. Huyu.

Angalizo, pamoja na tuhuma zote hizi, Andrew Chenge ni mmoja wa wabunge wenye roho nzuri sana over the counter, kipindi chote cha Bunge, hukaa counter pale Dodoma Hotel, na wazee wengine akiwemo Mzee Mapesa, ukitokea kuwepo hapo, basi round zitakupitia haijalishi anakujua au la!
 
Waulizeni TAKUKURU wameshindwaje kumfikisha mahakamani aeleze vile vijisenti vyake kavipataje. Sheria rushwa iko wazi lakini haitekelezeki kwa baadhi ya watu nchi hii! Kama ni kuifumua CCM na serikali yake ni ile siku huyu bwana atakapofikishwa mahakamani kwa rushwa au hata matumizi mabaya ya madaraka yake.
 
:painkiller:Nchi iuzwe kisha tugawane fedha ili kila mtu ajue kama anakuwa mkimbizi nchi gani,tumechoka na ufisadi jamani.tanzania nchi ya amani ila watanzania wenyewe hawana amani kutOkana na ufisadi unaoleta maisha magumu.:target:
 
Mhh Mzee wa Vijisenti ni ngumu kushitakiwa nahisi ana KINGA ya kutoshitakiwa kwa kutenda kosa akiwa katika utendaji wa kazi zake kama AG. Hii ya kugonga itaishia kupigwa faini isiyozidi laki 1 kwa kuua na labda laki 2 kwa kuendesha bila uangalifu na laki 1 nyingine kwa kuendesha gari iliyokwisha sijui ilikua road licence au insurance----------------------------------------------------- Angalizo hii ni NDOTO YANGU
 
Cammory,
Mtu hachukuliwa hatua za kisheria kwa tuhuma za kusadikika, unatakiwa uthibitisho, evidence.
Kuwa na fedha nyingi nje ya nchi sio kosa kisheria kama fedha hizo zimepatikana huko huko nje, kosa ni kama zimepatikana nyumbani, zikahamishwa isivyo halali.
Kwa mujibu wa sheria yetu, mshitaki ndie mwenye jukumu la kuthibitisha jinai, 'The burden of proof lies with the prosecution', sio jukumu la Chenge kuthibitisha uhalali wa fedha zake, anaweza kuwa amepewa sadaka na bilionea fulani na hawajibiki kumtaja wala kuthibitisha, bali kama serikali inadhani sio halali, inatakiwa ithibitishe ndipo imfikishe mahakamani.

Hii ndio Tanzania yetu, kama Kagoda kaomba bilioni 40 toka BOT kwa maandishi, fedha zikapitia account ya mtu anaeleweka humu humu nchini, zilipoingia, akazihamishia acount mbalimbali humu humu nchini na miongoni mwa accounts hizo ni za waheshimiwa zikiwemo za chama chetu kitukufu. Serikali inawajua wote tangu aliyeandika barua mpaka senti ya mwisho iliko fikia na bado ikashindwa kuchukua hatua yoyote, itakuwa vijisenti vya Chenge ambavyo serikali haina uwezo kujua vimetokea wapi, haina uwezo wa kuvizua na haina uwezo wa kumfanya chochote Mhe. Huyu.

Angalizo, pamoja na tuhuma zote hizi, Andrew Chenge ni mmoja wa wabunge wenye roho nzuri sana over the counter, kipindi chote cha Bunge, hukaa counter pale Dodoma Hotel, na wazee wengine akiwemo Mzee Mapesa, ukitokea kuwepo hapo, basi round zitakupitia haijalishi anakujua au la![/QUOTE]
Duh akiwa Dar kijiwe chake kipi niwe natembelea kipindi Mwezi ukiwa mchanga? Ila si anatembea na Silaha maana wengine after the 4th Chui aka Serengeti nabadilika na kuwa Tanzanian Chavez (nakua Patriotic) kuliko Dr. Slaa, sasa naweza kumkwaza Mzee Chenge akanirestisha in peace bure while watoto wangu ndio wanaanza chezea bunsen burner na test tubes.

 
Cammory,
Mtu hachukuliwa hatua za kisheria kwa tuhuma za kusadikika, unatakiwa uthibitisho, evidence.
Kuwa na fedha nyingi nje ya nchi sio kosa kisheria kama fedha hizo zimepatikana huko huko nje, kosa ni kama zimepatikana nyumbani, zikahamishwa isivyo halali.
Kwa mujibu wa sheria yetu, mshitaki ndie mwenye jukumu la kuthibitisha jinai, 'The burden of proof lies with the prosecution', sio jukumu la Chenge kuthibitisha uhalali wa fedha zake, anaweza kuwa amepewa sadaka na bilionea fulani na hawajibiki kumtaja wala kuthibitisha, bali kama serikali inadhani sio halali, inatakiwa ithibitishe ndipo imfikishe mahakamani.

Hii ndio Tanzania yetu, kama Kagoda kaomba bilioni 40 toka BOT kwa maandishi, fedha zikapitia account ya mtu anaeleweka humu humu nchini, zilipoingia, akazihamishia acount mbalimbali humu humu nchini na miongoni mwa accounts hizo ni za waheshimiwa zikiwemo za chama chetu kitukufu. Serikali inawajua wote tangu aliyeandika barua mpaka senti ya mwisho iliko fikia na bado ikashindwa kuchukua hatua yoyote, itakuwa vijisenti vya Chenge ambavyo serikali haina uwezo kujua vimetokea wapi, haina uwezo wa kuvizua na haina uwezo wa kumfanya chochote Mhe. Huyu.

Angalizo, pamoja na tuhuma zote hizi, Andrew Chenge ni mmoja wa wabunge wenye roho nzuri sana over the counter, kipindi chote cha Bunge, hukaa counter pale Dodoma Hotel, na wazee wengine akiwemo Mzee Mapesa, ukitokea kuwepo hapo, basi round zitakupitia haijalishi anakujua au la!

Duh akiwa Dar kijiwe chake kipi niwe natembelea kipindi Mwezi ukiwa mchanga? Ila si anatembea na Silaha maana wengine after the 4th Chui aka Serengeti nabadilika na kuwa Tanzanian Chavez (nakua Patriotic) kuliko Dr. Slaa, sasa naweza kumkwaza Mzee Chenge akanirestisha in peace bure while watoto wangu ndio wanaanza chezea bunsen burner na test tubes.
 
Cammory,
Mtu hachukuliwa hatua za kisheria kwa tuhuma za kusadikika, unatakiwa uthibitisho, evidence.
Kuwa na fedha nyingi nje ya nchi sio kosa kisheria kama fedha hizo zimepatikana huko huko nje, kosa ni kama zimepatikana nyumbani, zikahamishwa isivyo halali.
Kwa mujibu wa sheria yetu, mshitaki ndie mwenye jukumu la kuthibitisha jinai, 'The burden of proof lies with the prosecution', sio jukumu la Chenge kuthibitisha uhalali wa fedha zake, anaweza kuwa amepewa sadaka na bilionea fulani na hawajibiki kumtaja wala kuthibitisha, bali kama serikali inadhani sio halali, inatakiwa ithibitishe ndipo imfikishe mahakamani.

Hii ndio Tanzania yetu, kama Kagoda kaomba bilioni 40 toka BOT kwa maandishi, fedha zikapitia account ya mtu anaeleweka humu humu nchini, zilipoingia, akazihamishia acount mbalimbali humu humu nchini na miongoni mwa accounts hizo ni za waheshimiwa zikiwemo za chama chetu kitukufu. Serikali inawajua wote tangu aliyeandika barua mpaka senti ya mwisho iliko fikia na bado ikashindwa kuchukua hatua yoyote, itakuwa vijisenti vya Chenge ambavyo serikali haina uwezo kujua vimetokea wapi, haina uwezo wa kuvizua na haina uwezo wa kumfanya chochote Mhe. Huyu.

Angalizo, pamoja na tuhuma zote hizi, Andrew Chenge ni mmoja wa wabunge wenye roho nzuri sana over the counter, kipindi chote cha Bunge, hukaa counter pale Dodoma Hotel, na wazee wengine akiwemo Mzee Mapesa, ukitokea kuwepo hapo, basi round zitakupitia haijalishi anakujua au la!

Tatizo la Tanzania ni umaskini wa mawazo uliosababisha watumishi wa uma kuwatumikia individuals badala ya uma wenyewe. Hili tatizo limeanzia mbali na bahati mbaya viongozi wengi ndio wanongoza kwa hali hiyo. Kwa bahati mbaya sana, watu wa aina ya ''NDIYO MKUU'' ndio wanaopandishwa vyeo na kuteuliwa kushika nafasi mbalimbali za maamuzi katika jamii.
Siyo ajabu ikatokea viongozi wakuu wa nchi wakawaogopa baadhi ya watu katika jamii kwa sababu tu mfumo wa utegemezi wa akili na kutojiamini au kutojua uwezo madaraka wakiyopewa kwa wakati huo, wakabaki wanalalamika kama raia wa kawaida.
Badala ya kufuata sheria, siyo ajabu kwamba polisi kwa kutojiamini wanauliza kwa wakubwa kama wamkamate fulani au wasimkamate, vivyo hivyo DPP badala ya kuangalia sheria anauliza kwa wakubwa.
Inawezekana kwamba kutochukuliwa hatua kwa watu hao wa aina ya Chenge, ni kaw sababu matendo yao yanawahusisha moja kwa moja Viongozi waku wa nchi au ni woga tu wa polisi na DPP kuanzisha mchakato wa kesi kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

JAMII MBOVU HUZAA VIONGOZI WABOVU, JAMII NZURI HAIWEZI KUVUMILIA VIONGOZI WABOVU, ITAWAONDOA.

Pasco,

Offer za counter zisiwe kigezo cha kufuta tuhuma za uhalifu, mila zetu (personal) zinawaweka watu wenye mawazo ya aina hiyo katika daraja la chini kabisa kwa kuwa wanaweza kula hata ujira wa mbwa kwa kuufurahia.
 
Back
Top Bottom