Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kwa nini CHADEMA isiwapeleke mahakamani wahusika wa ufisadi ?
Chadema wanasikika wakilipua na kutangaza kwenye mikutano yao ya operesheni sangara kuwa fulani na fulani ni mafisadi wamesababisha hili na lile ,s asa kufikia kutangaza huko si jambo dogo ,ni lazima wana ushahidi wa kutosha ,hivyo ni jambo gani linawashinda kuwapeleka mahakamani wahusika wa ufisadi ? blah blah za kila siku hazina mpango ,tunataka kuona kutokana na ushahidi waliokusanya waende mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake wasingojee serikali ya Sultani CCM ichukue hatua au bunge au au,Chadema ni lazima waende mahakamani kufungua kesi ,kwa kadiri ya ushahidi walio nao ,sioni umuhimu wa kuwapotezea muda wananchi na kuwaeleza fulani na fulani walikwapua bilioni kadhaa ,waende mahakamani kama ni kushitaki mtu mmoja mmoja au ni kuishitaki serikali tumeona serikali imeshitakiwa kuhusiana na mauaji ya Albino so huu ni wakati wa Chadema nao kuipandisha serikali au wahusika wa ufisadi mahakamani au waache kutudanganya na ushahidi wa uongo.
Chadema wanasikika wakilipua na kutangaza kwenye mikutano yao ya operesheni sangara kuwa fulani na fulani ni mafisadi wamesababisha hili na lile ,s asa kufikia kutangaza huko si jambo dogo ,ni lazima wana ushahidi wa kutosha ,hivyo ni jambo gani linawashinda kuwapeleka mahakamani wahusika wa ufisadi ? blah blah za kila siku hazina mpango ,tunataka kuona kutokana na ushahidi waliokusanya waende mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake wasingojee serikali ya Sultani CCM ichukue hatua au bunge au au,Chadema ni lazima waende mahakamani kufungua kesi ,kwa kadiri ya ushahidi walio nao ,sioni umuhimu wa kuwapotezea muda wananchi na kuwaeleza fulani na fulani walikwapua bilioni kadhaa ,waende mahakamani kama ni kushitaki mtu mmoja mmoja au ni kuishitaki serikali tumeona serikali imeshitakiwa kuhusiana na mauaji ya Albino so huu ni wakati wa Chadema nao kuipandisha serikali au wahusika wa ufisadi mahakamani au waache kutudanganya na ushahidi wa uongo.