Kwanini Chadema wanasafiria nyota ya Mwangosi?

Vipi jina kama Tundu ?

teh teh..kweli kichwa ina power ndogo.Yaani umechukua week kuandika haka ka trick ka kijinga hivi?

UNAHAKIKA TUNDU NI NENO LA KISWAHILI NA MAANA YAKE IMETOKA KATIKA LUGHA YAKE NA SI KISWAHILI?KAMA NI LA KISWAHILI UNAHAKIKA GANI KUWA NI TUNDU KAMA TOBO AU TUNDU KAMA MWINGI WA VITUKO?
 
Nilipo RED.

Ahali yangu naomba unisomevizuri sananimeandikanini siokunizulia.

Kwakukusaidia nimebainisha kwamujibu wa Videoya kadhia hiyoinaonekana wazi polisi walifuata taratibu zoten zinazowaongoza yaani PGO katika kukabilianana kadhia hiyo. Ingawa kosalinaloonekana kwamujibu wa Videohiyo ni kuwa walitumia nguvu kubwa sana kupambana na watu wasio na silaha.

Nisome vizuri unielewe na sio kusingizia.

pengine walitumia taratibu zote ya ku pull the trigger..ila hata ile still picture tuu ule moshi ulikuwa unapanda ni wazi alichokielekeza kilitoa blasting object.neno tayartibu tunalichukulia tofauti.Yaani kumuua mwangosi ni kama digital "on" au "1", haliwezi kuwa less au more.So fungua akili yakhe..usisahau stua na halwa moja.
 
Nilipo RED.

Ahali yangu naomba unisomevizuri sananimeandikanini siokunizulia.

Kwakukusaidia nimebainisha kwamujibu wa Videoya kadhia hiyoinaonekana wazi polisi walifuata taratibu zoten zinazowaongoza yaani PGO katika kukabilianana kadhia hiyo. Ingawa kosalinaloonekana kwamujibu wa Videohiyo ni kuwa walitumia nguvu kubwa sana kupambana na watu wasio na silaha.

Nisome vizuri unielewe na sio kusingizia.
Barubaru,

..nimekuuliza kama mauaji ya Daudi Mwangosi ni utaratibu wa polisi.

..naomba jibu la NDIO au HAPANA.
 
Last edited by a moderator:
pengine walitumia taratibu zote ya ku pull the trigger..ila hata ile still picture tuu ule moshi ulikuwa unapanda ni wazi alichokielekeza kilitoa blasting object.neno tayartibu tunalichukulia tofauti.Yaani kumuua mwangosi ni kama digital "on" au "1", haliwezi kuwa less au more.So fungua akili yakhe..usisahau stua na halwa moja.

Nitashindwa kuendeleza mnakasha na wewe sababu kubwa umejikita katika USHABIKI na sio facts. Am sorry for that.

Lakin kama ungechukua muda kidogo kusoma taratibu au mwongozowa Kikazi wa Polisi wenu (PGO) na kuangalia ileclipya kadhia ile ungejifunza mengi sana. Na nafikiri ungeungana na mimi kuwa kosani kutumia nguvu kubwa kupambana na raia wasio na silaha. Lakin taratibu za kudhibiti fijo zote zilifuatwa.

Punguza ushabiki utaelewa zaidi.

 
Yakhe, ulikuwa unamzungumzia nani hapo juu tafadhali?

Sisi tulifunzwa kuwa ni lazima ujue na uandike vizuri majina ya vitu kwa usahihi ili wakati unafikiri/unapotoa maana basi uwe na msingi na mtiririko usio na madoa doa.

Pia kwa ufupi juu ya makala yako hii; nina shaka kama uko karibu na ulimwengu huu tuliopo. Sasa kwa vile uko mbali kijiografia ni vizuri ukajongea panapo uhalisia na ukweli; kabla ya ulichofanya.

Ahali yangu. Kumbuka mawazo yako ya umbali yamepitwa na wakati.

Kumbuka kuwa siku hizi dunia ni kama kijiji. Nilipata taarifa za kadhia hii nikiwa port of spain, Trinidad kupitia mtandao. Na nimefanikiwa mpaka kupata clip ya kadhia yenyewe kuiperuzi na kisha kutoa mchango wangu wa mawazo.


narudia kukukumbusha acha mawazo mgando kuhusu umbali wa kijiografia. mitandao ipo kila pahala.

Pole sana.

 
Barubaru,

..nimekuuliza kama mauaji ya Daudi Mwangosi ni utaratibu wa polisi.

..naomba jibu la NDIO au HAPANA.

Suala lako ni zuri sana. Mimi nakushauri soma Mwongozo wa Polisi wenu PGO. Huko utapata jibu sahihi la jibu lako. Jibu laweza kuwa ndio au hapana kutokana na mtazamo wako.

 
Suala lako ni zuri sana. Mimi nakushauri soma Mwongozo wa Polisi wenu PGO. Huko utapata jibu sahihi la jibu lako. Jibu laweza kuwa ndio au hapana kutokana na mtazamo wako.

Barubaru,

..wewe kama muanzisha thread hii una mtizamo gani?

..kwa mtizamo wako, mauaji ya Mwangosi yamefuata utaratibu wa Polisi?

..naomba jibu la NDIO au HAPANA.

.
 
Last edited by a moderator:
Barubaru,

..wewe kama muanzisha thread hii una mtizamo gani?

..kwa mtizamo wako, mauaji ya Mwangosi yamefuata utaratibu wa Polisi?

..naomba jibu la NDIO au HAPANA.

.


Mimi jibu langu nimeshalibainisha toka awali na nimekuwa nikirudia rudia. Nisome between lines utanielewa..

Nimebainisha kuwa kwa mujibu wa Clip ya video ya kadhia hii niliyoiona nimegundua yafuatayo.
1. Polisi walifuata taratibu zote kwa mujibu wa sharia zenu na mwongozo wao (PGO) .
2. Ila polisi walitumia nguvu kubwa kupambana na raia
3. Nilihoji kutaka kujua Weledi wa mwangosi katika tasnia hii ya habari. Kwani kutokana na taaluma ukipitia kwenye uandishi sehemu za hatari/ vita. Siku zote mwandishi anatakiwa kujiweka sehemu nzuri anayoweza kuona tukio zime vizuri na salama .Na mara nyingi anatakiwa awe nyuma ya vyombo vya usalama. lakin katika picha ile utaona mwangosi yupo mbele ya Polisi.

Hii ndio conclusion zangu mara baada ya kuona clip.
 
Barubaru CDM ingekaa kimya nadhan ungesema jingine pia. Waswahili tena wale wa pwani ndio mlivyo mnanogwaaa!!!
 
huyu naye sijui wa wapi,chadema watafute umaarufu leo,huna kazi za kufanya unaishia kupost utumbo.
 
Barubaru said:
3. Nilihoji kutaka kujua Weledi wa mwangosi katika tasnia hii ya habari. Kwani kutokana na taaluma ukipitia kwenye uandishi sehemu za hatari/ vita. Siku zote mwandishi anatakiwa kujiweka sehemu nzuri anayoweza kuona tukio zime vizuri na salama .Na mara nyingi anatakiwa awe nyuma ya vyombo vya usalama. lakin katika picha ile utaona mwangosi yupo mbele ya Polisi.


Hii ndio conclusion zangu mara baada ya kuona clip.
Barubaru,

..kuna taarifa za kuaminika kwamba Polisi waliendelea kumpiga, na mwisho kumlipua na kumuua Mwangosi, hata baada ya kamanda wao kuwasihi kwamba anamfahamu Mwangosi kuwa ni mwandishi wa habari, na siyo mwanachama wa CDM. kamanda huyu sasa hivi yupo hospitali kama majeruhi wa mlipuko uliomuua Mwangosi.


..Haijalishi kama Mwangosi alikuwa mweledi wa tasnia ya habari au la. Haijalishi pia kama Mwangosi alisimama upande wa nyuma ya "vyombo vya usalama." Ukweli ni kwamba Mwangosi alitambuliwa na kamanda wa Polisi kwamba ni MWANDISHI WA HABARI na si mwandamanaji/mwana CDM. Kamanda wa Polisi alitoa amri halali kwa askari wake waache kumpiga Mwangosi, lakini askari hao hawakusikiliza.

..mwisho, hoja yako hapo juu ni kama vile unamlaumu marehemu Mwangosi, which i think is very insensitive.
 
Last edited by a moderator:
The followings are the rules of engagement ambazo crowd dispersal force yoyote kama police force wanatakiwa kuzifuata :(A) WARN THE CROWD (B) DO NOT FIRE UNTIL FIRED AT (A)DO NOT FIRE AT A PEACEFUL CROWD (C)DO NOT FIRE AT AN UNARMED CROWD .Je hizi rules zilikuwa observed siku ya kifo cha Mwangosi,kama sio mtu yeyote mwenye akili timamu anajua cha post na kuongea.
 
The followings are the rules of engagement ambazo crowd dispersal force yoyote kama police force wanatakiwa kuzifuata :(A) WARN THE CROWD (B) DO NOT FIRE UNTIL FIRED AT (A)DO NOT FIRE AT A PEACEFUL CROWD (C)DO NOT FIRE AT AN UNARMED CROWD .Je hizi rules zilikuwa observed siku ya kifo cha Mwangosi,kama sio mtu yeyote mwenye akili timamu anajua cha post na kuongea.

Nafikiri ungapunguza USHABIKi katika kadhia hii utaona nimerejea hayo.

Nimebainisha kuwa Polisi walitumia nguvu zaidi kupambana na raia wasio na silaha. Soma PGOutanielewa zaidi.

Punguza ushabiki utanielewa tu.
 
Dr. Barubaru; Asalaam aleykum Mkuu. Ha ha ha ha! Yamekuwa tena mambo ya unajimu na ilmu ya nyota mkuu?

Nyota hazitumiki na wanajimu tu, mabaharia wanaoongoza vyombo vya bharini iwe ngarawa au meli wanatumia nyota kuwaongoza safari zao. Na wengine wanaotumia nyota "kusafiria" ni watu wa maporini, watu wa jangwani, ingawa sasa kuna GPS lakini si wote wenye nazo na si wote wenye kujuwa kuzitumia.

Usisafirie nyota ya mwenzio ni msemo (methali) maarufu sana kwa wanaokijuwa Kiswahili.

Nnaona Kiswahili si lugha mama kwako, basi hata shule hujajifunza?
 
Barubaru,

..kuna taarifa za kuaminika kwamba Polisi waliendelea kumpiga, na mwisho kumlipua na kumuua Mwangosi, hata baada ya kamanda wao kuwasihi kwamba anamfahamu Mwangosi kuwa ni mwandishi wa habari, na siyo mwanachama wa CDM. kamanda huyu sasa hivi yupo hospitali kama majeruhi wa mlipuko uliomuua Mwangosi.


..Haijalishi kama Mwangosi alikuwa mweledi wa tasnia ya habari au la. Haijalishi pia kama Mwangosi alisimama upande wa nyuma ya "vyombo vya usalama." Ukweli ni kwamba Mwangosi alitambuliwa na kamanda wa Polisi kwamba ni MWANDISHI WA HABARI na si mwandamanaji/mwana CDM. Kamanda wa Polisi alitoa amri halali kwa askari wake waache kumpiga Mwangosi, lakini askari hao hawakusikiliza.

..mwisho, hoja yako hapo juu ni kama vile unamlaumu marehemu Mwangosi, which i think is very insensitive.

Je mwandishi huyo alijulikana je. Alikuwa na ICC card?

lakin kumbuka kuwa Vita ni vita na vita havina macho. ndio maana tunahoji weledi wa marehemu katika tasnia hii. Je fuata rules zauandishi katikakazi zake.

Kumbuka kuwa uandishi ni taalumaambayoina miiko rules na regulation zake.

Punguza ushabiki.
 
Je mwandishi huyo alijulikana je. Alikuwa na ICC card?

lakin kumbuka kuwa Vita ni vita na vita havina macho. ndio maana tunahoji weledi wa marehemu katika tasnia hii. Je fuata rules zauandishi katikakazi zake.

Kumbuka kuwa uandishi ni taalumaambayoina miiko rules na regulation zake.

Punguza ushabiki.
Barubaru,

..kamanda wa Polisi alitoa amri kwa askari wake waache kumpiga Mwangosi.

..sasa ni wapi ktk taratibu za kazi za polisi ambapo wanaruhusiwa kukaidi amri za makamanda wao??

..weledi wa Mwangosi, au kama alikuwa na ICC card, havina maana, ukizingatia kwamba kamanda wa Polisi alimtambua, na alitoa amri halali kwamba asipigwe.

..again, unachofanya hapa ni sawa na kumlaumu marehemu.

..nakusihi uwe sensitive ktk suala hili.
 
Last edited by a moderator:

Nitashindwa kuendeleza mnakasha na wewe sababu kubwa umejikita katika USHABIKI na sio facts. Am sorry for that.

Lakin kama ungechukua muda kidogo kusoma taratibu au mwongozowa Kikazi wa Polisi wenu (PGO) na kuangalia ileclipya kadhia ile ungejifunza mengi sana. Na nafikiri ungeungana na mimi kuwa kosani kutumia nguvu kubwa kupambana na raia wasio na silaha. Lakin taratibu za kudhibiti fijo zote zilifuatwa.

Punguza ushabiki utaelewa zaidi.


wewe bwanyenye kweli kilaza.Sasa hoja yako hapa ni kama umbea tukiamua reduce incidence ya kifo cha mwangosi hadi kumtazama yeye na polisi,ni wazi kuwa mwangosi aliuwa help less na hakuna sabau ya polisi kupiga lile bomu hadi hata kuumizana.Ila picture moja tuu inasema kila kitu ila kwa vile kwa jinsi ulivyozoea tawala vifra za watu wanaokuzunguka basi unajisahau na ku extend fikra hadi kwa watu wengine wenye ngozi nyeusi.

Sijui wapi unataka walete polisi ktk sura ingine.Tatizo ni kusoma shule zisizohimiza right concepts na foundation.Huwa mnazania mkikimbilia kusoma great ideas kunawafanya muwe smart.Ulimwengu uliotoka unachekesha sana zaidi ya unavyodhani.Ulimwengu uliopo hata ukipewa vitu vyote vizuri duniani katk miaka si mingi watabaki wa mwisho.

Nisome taratibu ipi sasa?kwani ninafanya tsfri ya neno hadi neno?mimi natafuta intended meaning na hiyo ipo very obvious katika mawazo mgando kama haya.Ni wewe tuu huwezi meza umbumbumbu wako na hivyo kuwaona wengine ndio hawajui.huyu jamaa alikuwa sahihi sana ila bado ulichojibu ni utumbo sana.
quote_icon.png
By Ronal Reagan
Yakhe, ulikuwa unamzungumzia nani hapo juu tafadhali?

Sisi tulifunzwa kuwa ni lazima ujue na uandike vizuri majina ya vitu kwa usahihi ili wakati unafikiri/unapotoa maana basi uwe na msingi na mtiririko usio na madoa doa.

Pia kwa ufupi juu ya makala yako hii; nina shaka kama uko karibu na ulimwengu huu tuliopo. Sasa kwa vile uko mbali kijiografia ni vizuri ukajongea panapo uhalisia na ukweli; kabla ya ulichofanya.
Learning pattern na methodology ndizo zimefanya nchi zenu kuzidi kuwa na "Educated fools", I see them how they urge in TV live dilalogue and features at CCN,RT,aljazeera.Na wakirudi kwa watu wao kwa vile hawakufundishwa fikiri sawasawa basi hushangilia kuwa msomi wao alifanya vizuri,wengine tuu ndio walikuwa hawajui.
Iam telling you the world your living is a mixed mamabo jumbo,you dont have a good and solid foudations were you can build reasoning patterns.
 
Barubaru,

..kamanda wa Polisi alitoa amri kwa askari wake waache kumpiga Mwangosi.

..sasa ni wapi ktk taratibu za kazi za polisi ambapo wanaruhusiwa kukaidi amri za makamanda wao??

..weledi wa Mwangosi, au kama alikuwa na ICC card, havina maana, ukizingatia kwamba kamanda wa Polisi alimtambua, na alitoa amri halali kwamba asipigwe.

..again, unachofanya hapa ni sawa na kumlaumu marehemu.

..nakusihi uwe sensitive ktk suala hili.
Ndio maana nikakuomba usome PDO ili ujue NINI MAANA A AMRI.

tena uende mbali zaidi kuona AMRI HALALI NI NINI? hivi hivi nitakuwa natwanga maji kaika kinu kitu ambacho siko tayari kukifanya.

Pole sana
 
Familia ya marehemu Mwangosi isikubali kutumiwa kisiasa, la sivyo niambiwe jamaa alikuwa mfuasi mtiifu wa chama, na alikufa akipigania chama na si kupasha habari
 
Back
Top Bottom