Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Nicholas,
Awali ya yote nakupa pole sana kwa kutofahamu lugha yako ya asli ambayo mimi mgeni nimeibainisha kiufasaha zaidi. Lakin pia ulitakiwa uelewe kuwa kuna kitu kinaitwa lugha ya PICHA ambayo nimeibainisha.
Nastahajabu sana yanapokutoka mapuvu na kupomosha matusi kwa hoja ambayo ni dhahir shahir. Siku zote msomi au mwerevu anajadili hoja iliyopo mezani na sio kumjadili mtu. Huo ni upungufu niliouona kwako na ndio ulionipelekea nikupe POLE SANA.
Nakushauri rejea katika mada na ijadili kwa kina. Punguza jazba na soma kwa nia ya kuelewa pasi na shaka mola atakujaalia utaelewa na kuleta hoja zako ambazo tutakua tayari kuzisoma na kuzijadili kama zitakuwa na mashiko.
Pole sana
Barubaru :kwanza nikupe pole kwa lugha unayosema unaijua.Pili nakupa pole sana kama ni mgeni halafu unaingilia mambo ya nchi isiyo yako huku ukiwa na nia mbaya namna hii.Nani kakupa hiyo mamlaka?
Pia ujue lugha ni art na arts huhitaji talents,kila mtu ana talents zake za kuweza mpatia edge over his/her fellows.Na hii haithibitihsi kuwa kujua lugha ndio kutambua mambo.
Sioni hiyo lugha ya picture unayotaka iweka hapa wala umuhimu wake.By the sidhani kama umejibu hoja zangu instead umereside ktk distractions.Huwa mimi nawadharau sana watu wanotegemea distractions km defense zao ktk hoja za msingi.Distractions ni very primitive tricks ambazo hata wanyama/ndege huzitumia kwa hiyo sioni jipya kwako.Kuhamia katika issue ya lugha na jazba ni distractions.
Sidhani km unafahamu ukisemacho.Ulipokuwa ukiwasema watanganyika wanakosa elimu sijui ulikuwa unaongelea nini?Ulipokowa unasema hatuna uelewa ulikuwa unamsema nani?Unafiki ni kosa lichukiwalo katika ulimwengu wengu ila ndilo liwatafunalo sana.
By the way, waamini nyota ni mushrikin sana na huamini mambo ya hovyo sana yasiyo ya kisayansi.hizo blah blah za kujifanya kuwa upo makini sana ni kwa vile umepata domain yako ya porojo katika jamii ikuzungukayo.Kujifanya kuwa huna jazba ni kwa muda tuu na kunazuia kwa vile upo katika internet na si ana kwa ana.