Leo katika taarifa ya habari, Mlimani TV, Mwenyekiti wa Taifa CDM,bwana Mbowe, kasema kuwa wameamua kuwapa wale wahanga wa mafuriko moja kwa moja misaada hiyo, bila ya kupitisha kwa kamati zilizo undwa na Serikali ya Magamba
Swali ambalo najiuliza, ni kwa nini mheshimiwa Mbowe kaamua kutumia njia kama hii ya kunzunguka mwenyewe na vyakula pamoja na sabuni kwenye marambo wakati magamba yalisha unda kamati za kusimamia ugawaji wa misaada?
Swali ambalo najiuliza, ni kwa nini mheshimiwa Mbowe kaamua kutumia njia kama hii ya kunzunguka mwenyewe na vyakula pamoja na sabuni kwenye marambo wakati magamba yalisha unda kamati za kusimamia ugawaji wa misaada?