Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,913
1. Ugumu wa maisha.
2. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
3. Matumizi makubwa na ya anasa kwa viongozi.
4. Kupeana nafasi za uongozi kishkaji.
5. Ongezeko la wasomi wengi wasio na ajira.
6. Kuchoshwa na Serikali ya kimazoea.
KAMA SERIKALI INGEYAFANYA HAYA:
1. kutoa ajira kwa vijana.
2. Kudhibiti mfumuko wa bei....
CHADEMA INGEKUWA KAMA VYAMA VINGINE VYA KWAIDA SANA..
LAKINI PAMOJA NA KUSHABIKIA CHADEMA JE , WANACHAMA WAKE WANAJUA CHAMA CHAO KITAWAFIKISHAJE PALE WANAPOTAKA??
2. Ukosefu wa ajira kwa vijana.
3. Matumizi makubwa na ya anasa kwa viongozi.
4. Kupeana nafasi za uongozi kishkaji.
5. Ongezeko la wasomi wengi wasio na ajira.
6. Kuchoshwa na Serikali ya kimazoea.
KAMA SERIKALI INGEYAFANYA HAYA:
1. kutoa ajira kwa vijana.
2. Kudhibiti mfumuko wa bei....
CHADEMA INGEKUWA KAMA VYAMA VINGINE VYA KWAIDA SANA..
LAKINI PAMOJA NA KUSHABIKIA CHADEMA JE , WANACHAMA WAKE WANAJUA CHAMA CHAO KITAWAFIKISHAJE PALE WANAPOTAKA??