siamini kabisa mwanahalisi, wao ndio walituambia baada ya tarehe 31 Oct nchi hii itakuwa inaongozwa na mzee wa miaka 60 ambaye ana girl friend bado..haikuwa hivyo yule padre mstaafu..nooo yule aliyefukuzwa kwa kukiuka maadili ya kanisa hakuwa rais.
Watu wa Moshi kama mnataka maandamano tumeni maombi watakuja tu. Hawana hiyana na lolote... Ila kama mko ngangari ombeni maandamani kama ya Libya kumng'oa JK yaanzie huko. lakini nina uhakika mko waoga ndo maana mmemrudisha hata Mrema aliyechoka ktk ubunge.
What makes it stupid? its just a question.....!!!
The same applies.i do reserve my comments on stupid posts
Kwani wamemaliza mikoa mingine na ukaona Kilimanjaro kumebaki? Moshi mjini ni wajanja toka awali, na hivyo hakuna sababu ya kuwaamsha walio macho, bali waliolala....! Unataka wakaandamane na Karatu, Ubungo, Kawe, Mbulu, ........? Vinginevyo, popote watakapoandanmana ujumbe unapelekwa kwa Watanzania wote, hata walio nje ya Tanzania....!