MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
cHADEMA ni Chama cheye wapenzi wengi sana hapa Meru,bahati mbaya wengi wao ndo mamefikisha miaka 19-20,na hivyo hawana kadi za kupiga kura kwani kwa miaka hiyo walikua hawana sifa za kupiga kura.Pili:Vijana wengi wenye kadi hawajavutika kusimama kwenye foleni ndfu tofauti na wazalendo mgando wa CCM,TATU:Wazee wengi ni mtaji wa CCM tofauti na CDM, NNE:CCM ni wataalamu wa rafu ya Takrima,vyombo vya Usalama na Umaskini kwa watu wa MERU.
ni vyema CDM wakaendelea kuhamasisha mikuto ya maeneo ya vijijini kulikoni wafanyavyo maeneo ya Mjini.Mbowe pia jitokeze nenda Vijijini ukaongeze Nguvu
ni vyema CDM wakaendelea kuhamasisha mikuto ya maeneo ya vijijini kulikoni wafanyavyo maeneo ya Mjini.Mbowe pia jitokeze nenda Vijijini ukaongeze Nguvu