Kwanini CCM wengi mazuzu

Wangekuwa Mazuzu wange tushinda kwenye uchaguzi! Ikumbukwe CCM waliongoza kupata wabunge wengi kwa 87 percent na Urais wakashinda! Mimi naona tumeanza ushabiki wa kujiridhisha mapema! Angalie sana CCM bado wako vizuri!
Ushindi wa hila,wamekaa bungeni kukwamisha kila kitu kitakachoboresha maisha ya Mtanzania,kila mtu anajua walishindaje wataendelea kushinda si wananchi tunawaendekeza na kuwaacha wafanya watakalo lakini wajiangalie NGuvu ya UMMA itakapo amua vinginevyo hawatadeka tena
 
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.

Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.

Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.

Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????

Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???

Chadema wanapowapinga wanakosea????

Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
Wengine wanamtegemea Shekh Yahaya na waganga wa kienyeji unadhani watakuwa na akili kweli
 
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.

Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.

Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.

Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????

Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???

Chadema wanapowapinga wanakosea????

Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza

Huenda ikawa baba yao ni mmoja, you never know!
 
Si wote ccm ni mazuzu,wapo wenye akili na uchungu wa nchi ila hawana nafasi ya kuonyesha uchungu wao.Tunawaita watoke huko waje CDM tupige kazi.
 
Wangekuwa Mazuzu wange tushinda kwenye uchaguzi! Ikumbukwe CCM waliongoza kupata wabunge wengi kwa 87 percent na Urais wakashinda! Mimi naona tumeanza ushabiki wa kujiridhisha mapema! Angalie sana CCM bado wako vizuri!

nilipo introduce hii mada nlitaka kujua pia na Jamii forums kuna mazuzu wangapi? :sleepy: wewe sio zuzu ni ........ malizia mwenyewe maana siwezi sema the way i can imagine how your brains works as .......... go back to your home
 
Ni kweli ni mazuzu angalia hata bungeni wanafata ushabiki hata ukiwapelekea paper wafanye presentation hawawezi shida tupu, na ndio wametuingiza kwenye mikataba ya kijinga utafikiri hakwenda shule wanasign bira hata ya kuelewa maana kusoma yanasoma ila upeo wa kuelewa mdogo. kazi yao kupakata tu makorodani yao without thinking!!!
 
chadema ndo Mazuzu kwa kuwa na kiongozi mmoja tu anayetegemewa. CCM ni ya wengi any can lead but not Chadema.

mshahara wako kwa kuitukana Cdm ni sh ngapi mkuu,maana pamoja na kuisadia Ccm kwenye uchaguzi uliopita,mliangaika huko na kule,mkaiba kura nk,mshahara wake tshet na kofia,wakati kumtoa mtu Cdm kumpeleka ccm n milioni 500,mfano Shitambala.mazuzu uwezi yaonga hela kama hizo,mazuzu hupewa tshet,kofia na pombe kama wewe,
 
Siyo kweli kuwa CCM wote ni mazuzu, akitoka mtu CCM akija CDM uzuzu utakwisha? Ni imani yangu saizi watu wamechoka CCM hivyo wanatafuta unafuu na unafuu huo umeindokea CDM baada ya kuonyesha inaweza. Mbona Mpendazoe alipoanzisha CCJ alionekana mtu asiye na uelekeo lakini alipojiunga CDM anaonekana mtu makini. Achana na huyo yupo yule mwanamashairi Shibuda mbunge wa CDM msukuma pekee mwenye tambo na mbwembwe nyingi mbunge wa Shinyanga ni zuzu japo yupo CDM? Alikiponda chama chake pale bungeni kama amepata wazimu, mbona hamsemi. Tuache ku generalize hoja very likely conclusion ikawa mbovu. Ni mtazamo tu.

Mkuu nakufagilia.
Somebody said that if you argue with a fool people might not notice the diference!
I rest my case.
 
chadema ndo Mazuzu kwa kuwa na kiongozi mmoja tu anayetegemewa. CCM ni ya wengi any can lead but not Chadema.

hapo kwenye red ndio tofauti ya CHADEMA na CCM, wakati CCM any (including mazuzu, na ndio maana kuna wakati lazima mvue magamba) can lead, CDM only SMART people can lead!
 
.........Hata kama ulikuwa mtu unajua kujenga hoja ukiungana na CCM lazima uwe kilaza,kuna pepo mbaya sana pale anachakachua akili za watu...Tazama hawa kabla awajajiunga CCM au kukubaliana na mawazo ya CCM

  1. Tambwe Hiza

    [*]Prof Lipumba
    [*]James Mbatia
    wa NCCR Manunuzi according to Mh Halima Mdee
Pima mawazo yao before CCM and after CCM..........

This is breaking news for me....and it is real shocking!!! Wamehamia lini huko? Naanza kupata logic...ndio maana prof akikutana na mukulu wa pale ikulu huwa anafurahi na kujichekeshachekesha sana....!
 
[
[B

Kama Jamii forum ni Ya CHADEMA wewe unatafuta nini humu ndani waache wana chadema wabaki wenyewe toa kihereher chako peleka kwa mazuzu wenzako wewe unaejiita GENIUS BRAIN hauna maana hata chembe:sleepy:[/QUOTE]


hahahahahahahahahahahahahahaahahahahqaha. wajameni mambo hayooooooooo
 
hivi nauliza!,KAMA MAWAZIRI HUTOKANA NA WABUNGE WA CCM,NA TUMEONA WALIVYO MAZUZU WA KUCHAMBUA HOJA NA SHERIA BUNGENI.
*
INAKUWAJE WANAPOTUWAKILISHA HUKO UGHAIBUNI KWNY MIKUTANO YA KIMATAIFA?,AU NDIO MATOKEO YA HII MIKATABA INAYOTUSUMBUA.
*MFN JANA MKUTANONI DSM NA WAWEKEZAJI,NILIMUONA FELIX MOSHA AKIUCHAPA USINGIZI.LIVE KABISA WAKATI RAIS KIKWETE AKIJIBU MASWALI KADHAA TOKA KWA WADAU.
 
Tatizo ukishaingia ccm, inabidi uwe zuzu, maana ukitumia uhuru wako kuongea au kutoa mawazo yako, unaambiwa umekiuka taratibu za vikao! Kumbuka ya Sumaye na UVCCM? huo ndo uzuzu!
 
Katika utafiti wangu nimekuja kuona ccm wanachama wengi wa ccm na viongozi wao wapo kimaslahi yao na hawana jipya la kufanya kimaendeleo.

Karibia wote ni vilaza wanaopewa nafasi kubwa serikalini ndio maana wanasababisha matatizo makubwa kama ufisadi, na maisha magumu yanayowakabili wananchi wengi kwa sasa.

Wamekuwa wakikimbilia cheap popularity kwa watu wasio na uelewa wa mambo yanavoenda mbona hawawezi kutoa tathmini ya mandeleo wanayoyafanya mbele ya watu wanao fatilia na wasomi kwa ujumla.

Mimi binafsi naona ni ukomo wao maana zama zao zilikuwa za kuongoza watu walio gizani. Kama sasa wanalalamika wanavyuo kuwazomea je walipozomewa na wananchi wa ubungo wakati wametoka sijui kutoa magamba yao wale walikuwa ni wanachuo????

Ccm mmekwisha hakuna mnalolifanya kwa sasa zaidi ya kutuletea matatizo kila siku. Mnaposema jamii forums inawachafua kwani inaandika uwongo???

Chadema wanapowapinga wanakosea????

Kwa kweli nyie sio siri ni mabogas mlio pitiliza
Tafadhari mod turudishie kitufe cha thanks!!!!!!!!! Mkuu Kakini hao watu walishajifilia zamani saana!!!!!!!!! Utawala wamechukua kimabavu, sasa wanangjea kuzikwa. Tutawazika 2015, kama ni majasiri hebu watupe uhuru wa kutunga katiba mpya, tuipate kabla ya uchaguzi!!!!!!!!!!!!
 
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki

Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia

nje ya mada!! hayo hayatuhusu!!!
 
Siyo kweli kuwa CCM wote ni mazuzu, akitoka mtu CCM akija CDM uzuzu utakwisha? Ni imani yangu saizi watu wamechoka CCM hivyo wanatafuta unafuu na unafuu huo umeindokea CDM baada ya kuonyesha inaweza. Mbona Mpendazoe alipoanzisha CCJ alionekana mtu asiye na uelekeo lakini alipojiunga CDM anaonekana mtu makini. Achana na huyo yupo yule mwanamashairi Shibuda mbunge wa CDM msukuma pekee mwenye tambo na mbwembwe nyingi mbunge wa Shinyanga ni zuzu japo yupo CDM? Alikiponda chama chake pale bungeni kama amepata wazimu, mbona hamsemi. Tuache ku generalize hoja very likely conclusion ikawa mbovu. Ni mtazamo tu.

Tofauti ni hapo kwenye RED. Aliepost kauliza, kwa nini CCM WENGI (sio WOTE) ni MAZUZU?
 
Wewe zhu..chadema haina kiongozi mmoja kama wa ccm..
LEMA=VINGOZI 10 WA CCM
TUNDU LISSU=NA AKINA CELINA KOMBANI 25
MBOWE=JEIKEI 4
DR WA UKWELI hafanani na kiongozi yeyote fisadi..
 
Bunge la jumamosi wk iliyopita kwenye kupitisha vifungo vya mswada wa Sheria ya mahakama ndipo niligundua wabunge wa ccm si watetezi wa wananchi ila ni watetezi wa chama chao na maslahi yao. Hata samwel sita naye alikuwa kwenye mkombo huo huo.

Jemedari/mwanasheria kijana Tundu lisu mwenye speed ya digital aliwatesa sana mwanasheria mkuu, waziri wa sheria na Spika wa Bunge. Hoja zake zilikuwa za msingi na zenye uzalendo lakini wabunge wa CCM walizikataa kwa ajili ya kutetea maslahi binafsi na ya chama.

Hawa wabunge hawafai kwa Watanzania na wakae wakijua aliyewaweka madarakani ni wanachi na mwajiri wao ni wananchi na si chama. watanzania hatutafanya makosa kuwarudisha bungeni tena hawa wasaliti!

Walichokifanya kitakuja kuwagharimu siku si nyingi, Watanzania tunaomba Mungu awaadhibu kwa kuwalaghai wa-TZ.
 
Lisu ni jembe, ila chama cha magamba wao watunge tu hizo sheria zao za kizuzu, kuna siku zitawageukia wao wenyewe! Wakamuulize Kaunda, Muluzi etl al, ni kukompromise indepence of judiciary, kuruhusu, wanasiasa, tena wakuu wa mikoa na wilaya kuwa kwenye tume za utumishi wa mahakama!
 
sasa mmejivua gamba hayo ni mambo yenu ya ndani!eeh tupeni mkakati au mna mpango gani wa kuteletea maendeleo mkiwa na takwimu sahihi?
 
Back
Top Bottom