Ushindi wa hila,wamekaa bungeni kukwamisha kila kitu kitakachoboresha maisha ya Mtanzania,kila mtu anajua walishindaje wataendelea kushinda si wananchi tunawaendekeza na kuwaacha wafanya watakalo lakini wajiangalie NGuvu ya UMMA itakapo amua vinginevyo hawatadeka tenaWangekuwa Mazuzu wange tushinda kwenye uchaguzi! Ikumbukwe CCM waliongoza kupata wabunge wengi kwa 87 percent na Urais wakashinda! Mimi naona tumeanza ushabiki wa kujiridhisha mapema! Angalie sana CCM bado wako vizuri!