Hivi mnajua watanzania jinsi hawa wapinzani wanavyoweweseka na nguvu ya CCM?nimetafakari vya kutosha ndio maana nikaamua kufunguka namna hii nimegundua mambo yanayofanywa na ccm wapinzani wengi wanayatamani wangekuwa wamefanya wao basi sifa zote zingewamiminikia wao kuna swali la kujiuliza hivi kwanini MBOWE aligombea uraisi 2005 na baada ya kushindwa 2010 akaamua kumwachia slaa hivi mnadhani ni kukomaa kwake kisiasa ndio kuliko mfanya amwachie slaa?ila jibu ni moja tu ameridhika utendaji wa raisi aliyekuwepo madarakani hivyo akaona hana sababu ya kuendelea kumpinga ndio alipofunguka rasmi na kutangaza kugombea ubunge ili kama akipata nafasi hiyo ashirikie na KIKWETE wafanye kazi ya pamoja na wala sio vinginevyo ukweli ndio upo hivyo kazi za ccm zinaeleweka na zinakubalika ndio maana wapinzani wanapagawa wanakosa la kuongea wanabaki kupayuka tu bila kujali wayasemayo kwa wananchi ila nashukuru baadhi yao wameanza kukubali kama ndugu MBOWE aliyeamua angalau apate hata ubunge ili naye apate kufanya kazi na serikali ya kikwete sasa kazi kwao wasioamini ila muda utafika watakubali tu wajiulize yupo wapi MLEMA?MBOWE je? tunamsubiri SLAA na LIPUMBA nao wajisalimishe