bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Kuna mtu ametuma post yake hapa JF anadai ile PEOPLES POWER ya CHADEMA inatishia amani...Mimi namuuliza, kwa nini asijiulize mbona CCM imejaza WANAJESHI kwenye safu yake ya juu ya uongozi? Siyo kwamba wamekuwa wakitumia hao kama STRATEGISTS wakuu wa kutumia MABAVU NA NGUVU ZA DOLA kuwakandamiza wapinzani??
Wapo wengi hadi kwenye ngazi za mikoa na wilaya ambako unyanyasaji ndiyo unafanyika Chukua mifano hii michache, mingine malizia ..
Wapo wengi hadi kwenye ngazi za mikoa na wilaya ambako unyanyasaji ndiyo unafanyika Chukua mifano hii michache, mingine malizia ..
- JAKAYA KIKWETE
- YUSUPH MAKAMBA
- ABDULRAHMAN KINANA
- GEORGE MKUCHIKA
- JOHN CHILIGATI
- ......uliza mikoani na wilayani wamejaaa