Kwanini CCM imejaza wanajeshi kwenye uongozi wake? Nayo inatishia amani?

bwegebwege

JF-Expert Member
Jul 30, 2010
1,071
185
Kuna mtu ametuma post yake hapa JF anadai ile “PEOPLE’S POWER” ya CHADEMA inatishia amani...Mimi namuuliza, kwa nini asijiulize mbona CCM imejaza WANAJESHI kwenye safu yake ya juu ya uongozi? Siyo kwamba wamekuwa wakitumia hao kama STRATEGISTS wakuu wa kutumia MABAVU NA NGUVU ZA DOLA kuwakandamiza wapinzani??

Wapo wengi hadi kwenye ngazi za mikoa na wilaya ambako unyanyasaji ndiyo unafanyika…Chukua mifano hii michache, mingine malizia…..

  1. JAKAYA KIKWETE
  2. YUSUPH MAKAMBA
  3. ABDULRAHMAN KINANA
  4. GEORGE MKUCHIKA
  5. JOHN CHILIGATI
  6. ......uliza mikoani na wilayani wamejaaa
 
amri, shurutisha
toa hongo ya uongozi kwa wanajeshi. watakulinda hata kwa nguvu endapo umma utakukataa kwenye kura
 
Kuna mtu ametuma post yake hapa JF anadai ile “PEOPLE’S POWER” ya CHADEMA inatishia amani...Mimi namuuliza, kwa nini asijiulize mbona CCM imejaza WANAJESHI kwenye safu yake ya juu ya uongozi? Siyo kwamba wamekuwa wakitumia hao kama STRATEGISTS wakuu wa kutumia MABAVU NA NGUVU ZA DOLA kuwakandamiza wapinzani??

Wapo wengi hadi kwenye ngazi za mikoa na wilaya ambako unyanyasaji ndiyo unafanyika…Chukua mifano hii michache, mingine malizia…..

  1. JAKAYA KIKWETE
  2. YUSUPH MAKAMBA
  3. ABDULRAHMAN KINANA
  4. GEORGE MKUCHIKA
  5. JOHN CHILIGATI
  6. ......uliza mikoani na wilayani wamejaaa

Unajua kuna ujanja mmoja ulifanyika baada ya wanajeshi wasomi kutaka kumuondoa Nyerere madarakani. Nyerere alijitahidi sana ku consolidate madaraka na kuyaweka yote Ikulu. Alianzisha kitu kimoja kilikuwa kinaitwa mkoa wa majeshi lengo lilikuwa ni kulibananga jeshi. Then akawaingiza watu fulani jeshini na kuwachagua watu fulani jeshini na kuwatrain pale kivukoni na kuwa makada wa chama ndani ya jeshi.

Wengi kati ya hawa mnaowataja kuwa ni wanajeshi ambao wanaserve serikalini, are not professional soldiers, if they were kungekuwa na discpline ya hali ya juu. Hakuna discipline kwa kuwa si wanajeshi halisi bali ni makada wa chama waliokuwa jeshini ambao somehow for political reasons walikwea ranks.

Hii ni sababu jeshi letu halina uwezo wa kutetea maslahi ya nchi, na ndio maana wakati mwingine hata lenyewe linatumika kuibia watanzania.

Professor Baregu amewahi kuja na theory moja ya jeshi na chama kutawala hand in hand hapa Tanzania, watu walimwona chinzi lakini ukiangalia idadi ya wakuu wa mikoa, wilaya na hata watu wengine wanaoteluliwa na rais unaweza kukuta kuna wanajeshi wengi tu. Hii ndio njia ambayo chama kimetumia kuliteka jeshi, same applies to usalama wa taifa.
 
Unajua kuna ujanja mmoja ulifanyika baada ya wanajeshi wasomi kutaka kumuondoa Nyerere madarakani. Nyerere alijitahidi sana ku consolidate madaraka na kuyaweka yote Ikulu. Alianzisha kitu kimoja kilikuwa kinaitwa mkoa wa majeshi lengo lilikuwa ni kulibananga jeshi. Then akawaingiza watu fulani jeshini na kuwachagua watu fulani jeshini na kuwatrain pale kivukoni na kuwa makada wa chama ndani ya jeshi.

Wengi kati ya hawa mnaowataja kuwa ni wanajeshi ambao wanaserve serikalini, are not professional soldiers, if they were kungekuwa na discpline ya hali ya juu. Hakuna discipline kwa kuwa si wanajeshi halisi bali ni makada wa chama waliokuwa jeshini ambao somehow for political reasons walikwea ranks.

Hii ni sababu jeshi letu halina uwezo wa kutetea maslahi ya nchi, na ndio maana wakati mwingine hata lenyewe linatumika kuibia watanzania.

Professor Baregu amewahi kuja na theory moja ya jeshi na chama kutawala hand in hand hapa Tanzania, watu walimwona chinzi lakini ukiangalia idadi ya wakuu wa mikoa, wilaya na hata watu wengine wanaoteluliwa na rais unaweza kukuta kuna wanajeshi wengi tu. Hii ndio njia ambayo chama kimetumia kuliteka jeshi, same applies to usalama wa taifa.

Kweli kabisa mkuu.That's genius analysis!
 
niacheni nijipendekeze kwao wakinipindua ndiyo maana hata mishahara nawapendelea tofaut na washika chaki
 
Jeshi halina Chama wala halijihusishi na chama chochote. Hao wanaoteuliwa toka ndani ya jeshi nao ni bahati yao, tusiwaonee wivu...!
 
Katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na M aendeleo CHADEMA Dr,P.W.SLAA amesikika mara kadha akilalamika kwamba Tanzania hakuna Usalama wa taifa nali kuna usalama wa ccm siyo hilo tu bali pia amenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari akililaumu jishi la Polisi Tanzania kwamba nalo pia ni polisi wa chama cha mapinduzi ccm.

Mwanzoni wengi tulikataa hatiku kubaliana na kauli hizi na tukawa mstari wa mbele kuziita ni kauli za kipuuzi na kizushi mimi na wenzangu hatuku kubaliana na kauli kwamba usalama wa taifa (TISS) wanaweza kuwa usalama wa ccm na Polisi wakawa ccm na tulifanya hivyo tukijua kwamba vyombo vya dola haviwezi kupendelea upande mmoja katika nchi ya kidemokrasia.

Pamoja na imani yetu hiyoya kuamini wana usalama na walinzi wa maisha ya wananchi na mali zao matukio ya hivi karibuni yamenionyesha wazi kuwa usalama wa Taifa waweza kuwa usalama wa chama cha mapinduzi ccm na malizao na kuacha usalama wa raia na mali zao,ili kuthibitisha haya inabidi tutajane majina hapaili kudhihirisha tunayosema kwamba CCM ni POLISI na TISS NA PIA TISS na POLISI ni CCM.

1. IGP Omari Mahita:
Baada ya kuwasingizia CUF kwamba wameingiza majambia ili kuvuruga uchaguzi alipo staafualienda kugombea ubunge huko Morogoro kupitia CCM Japoalishindwa.

2. Brigadia Dk.Guido Gorogolio Singanda:
Alipo staafu uofisa usalama jeshini aligombea ubunge kupitia CCM huko mkoani Mbea.

3. Jenerali Robert Mboma:
Aliekuwa Mkuu wa Majeshi Mstaafu aligombea Ubunge kupitia CCM japo hakushinda.

4. Alfred Tibaigana:
Aliekuwa kamandwa wa Polisi Mkoa wa Dar es Salaam baada ya kustaafu nae alirudi kwao muleba mkoani Kagera kugombea Ubunge kupitia CCM na hii ikiwa ni mwaka mmoja tu baada ya kustaafu.

5. J.K Kikwete:
Huyu ukisoma CV yake nae ni mwana Usalama aliyewahi kuhudumu Makao Makuu CCM kabla ya kupandishwa vyeo na kuwa waziri kwa nafasi tufauti hadi kugombea na kuwa raisi.

Hadi sasa kuna wana Usalama wa tano na Majaji wastaafu wametia nia ya kugombea Uraisi kupitia Chama Cha CCM nao si vibaya kuwataja kwa majina.

6. Mizengo Kayanza Peter Pinda:
Mtaalam wa kupiga watu na Waziri Mkuu wa sasa anafahamika kuwa ni shushushu aliyewahi kuhudumu pale Ikulu kwa muda mrefu .

Mathias Chikawe;
UWaziri wa mambo ya ndani huyu ni shushushu aliekubuhu nae ametia nia ya kugombea Uraisi kupitia CCM.

Balozi Agustino Philip Mahinga:
Aliwahi kuwa balozi wa kudumu wa Tanzania pale Umoja wa Mataifaanasemekana pia aliwahi kushika wadhifa wa Unaibu Mkurugenzi Usalama wa Taifa na Waziri wa Mambo ya Nje nae ametangaza nia ya kugombea Uraisi kupitia CCM

7. Bernard Camillius Membe:
Huyu nae ni shushushu wa kupindukiapia ​metia nia ya kugombea uraisi kupitia CCM.

8. Hinnes Kitine:
Ambae alishawahi kushika wadhifa wa Mkurugenzi wa Usalama wa Taita enzi ya Utawala wa Mwalimu Nyerere akihudumu katika Ikulu ya Magogoni kwamba nae pia ametia nia ya kugombea Uraisi kupitia CCM.

Hoja ni moja msururu wa wana usalama wanaotia nia sasa kupitia ccm na hata hao waliowahi kugombea kupitia ccm inaonyesha ishara gani kama siyo udhibitishokwamba Usalama wa Taifa ni usalama wa ccm kama anavyodai Dr.W.P.Slaa wa CHADEMA?

Msululu wa Maofisa wa Polisi na Majenerali wa Jeshi la Wananchi (JW) wanaogombea kwa tiketi ya CCM ni udhibitisho wa kitu gani kama siyo kweli kwamba vyombo vya dola ni vyombo vya CCM?

Matukio ya kupigwa na kuteswa kwa watetezi wa wananchi,Kuibiwa kwa kura wakati wa uchaguzi mkuu na kashfa za ufisadi miezi kadhaa kabla ya uchaguzi mkuu na ikadaiwa pesa hizo zimetumiwa na CCM kwenye uchaguzi na matukio hayo hayajawahi kuchunguzwa wala kupatiwa ufumbuzi na hao wanaokuja kugombea baadae kupitia CCM sisi raia wa kawaida tusemeje?

Hayo yote tisa kumi ni yale yaliyomkuta Jemedari wa vita vya Kagera, Meja Jenerali Kambale (Mwita Marwa) almaarufu Mwita Wabhachira, alipogombea kupiyia CHADEMA Ubunge wa Tarime,mimi sisemi alikutwa na nini mitaambiwa ni mwongo waulize wanajeshi au ndugu zake utashangaa.
 
Umeandika meengi hata hayana cha maana kumbe ni hisia zako tu ! usituchanganye hapa tuko kwenye mambo ya msingi sana hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom