dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Mara zote CCM wakati wa midaharo iwe ya Uchaguzi au mambo yoyote yahusuyo wananchi huwa wanapinga kwa herufi kubwa kuwa hawataki kusikia habari za midaharo na mbaya zaidi kurushwa moja kwa moja kwa Luninga au media mbalimbali kwa kisingizio kuwa watanzania wengi hawana tv na redio kuwasikiliza.
Najiuliza mbona kwenye mambo yao ya ajabu ajabu hasa wanapogeuka wapinzani wanataka coverage ya media kwa gharama zozote?
Najiuliza mbona kwenye mambo yao ya ajabu ajabu hasa wanapogeuka wapinzani wanataka coverage ya media kwa gharama zozote?