Kwanini Biblia imeandikwa kwa lugha ngumu?

Katika maisha mkuu lazima tuwe open minded. Akili yetu iwe huru kufikiri. Kila tunaposoma na kujifunza turuhusu challenges na elimu mpya. Tuzisome kwa moyo wa kuelewa na nia. Then tukishasoma tunatumia akili zetu binafsi kuchambua na kuangalia facts zinavyosema. Yaani kwa maana kuwa tusi-settle katika elimu na kuridhika.

Ukiwa mtu wa namna hiyo utajikuta unasoma mengi na kuanza ku connects dots na unaelewa vitu katika ufahamu mbalimbali. Mfano mkristu anayeamini biblia tu na hajasoma vingine atatofautiana na mkristu anayeamini biblia na amesoma vingine. Elimu inamfanya mtu anakuwa juu na anaiona vizuri view ya chini. Sawa na ukiwa keleleni unaona bonde vizuri.

The more unavyojifunza vingi, the more unavyoona uhalisia vizuri.

Hata yule ambaye amebahatika akazaliwa na baba mwenye hekima na akafundishwa elimu ya kweli bado anatakiwa asome na elimu za uongo na atambue fahamu zilizopo ili ajue thamani ya ile elimu ya kweli. Pia atajua kujadiliana na watu kwa sababu anajua fahamu zao.

Hata mimi ambaye bado najifunza, hivi sasa bado kuna imani ambayo naona ina ukweli fulani kwa kiasi kikubwa. Na nikiona kuna nyingine inaizidi imani niliyonayo na ina ushahidi, nami nitaifuata na kuzidi kujifunza.
acha kuangaika utatangatanga hadi lini Imani ya kweli ni kumwamini YESU KRISTO KUWA ALIKUFA NA AKAFUFUKA BASI HAKUNA IMANI NYINGINE.ibrahimu alihesabiwa haki mbele za Mungu kwa imani ya kumwamini Kristo na ndio imani itupasayo kuiamini na wala sio dini.
 
Inatokana na kupenda kujua imani nyingine zinasemaje.

Wengi tunasoma imani mbili tu na tunafanyia maamuzi katika imani hizo mbili hizo tu.
iko imani mmoja tu nayo ni ya kumwamini Yesu Kristo mwana wa Mungu hizo mbili unazungumzia ni dini na sio imani
 
acha kuangaika utatangatanga hadi lini Imani ya kweli ni kumwamini YESU KRISTO KUWA ALIKUFA NA AKAFUFUKA BASI HAKUNA IMANI NYINGINE.ibrahimu alihesabiwa haki mbele za Mungu kwa imani ya kumwamini Kristo na ndio imani itupasayo kuiamini na wala sio dini.


Je Una udhibitisho nje ya kitabu kilochosema hivyo?

Kuwa wokovu ni kumuamini Yesu ambaye ni mtoto wa Mungu, alikufa kwa kafara ili watu wapone na pia dunia iliumbwa siku sita na kuna nyoka anaongea bustanini? Mungu ana nafsi watatu lakini ni mmoja, ukimuamini Yesu basi umepona. Kwamba Yesu ni Mungu na alipokuwa anasali alikuwa anaomba kwa mungu baba na wote ni mungu mmoja? Kulikuwa na gharika kuu wanyama, mimea, bacterias, fungus na kila life forms zikawekwa kwenye safina pairs, mpaka aina zote za dinosaurs, na maji yakafunika mpaka mlima everest? Na creationism ni bora kuliko evolution, na mwisho wa dunia watu wote watafufuka na miili hata kama ilioza na kuwa decomposed au hata kama ilichomwa??

Are u serious?

Sibishi kama inaweza kuwa haikutokea, naomba tu ushahidi nami nitasadiki.
 
iko imani mmoja tu nayo ni ya kumwamini Yesu Kristo mwana wa Mungu hizo mbili unazungumzia ni dini na sio imani

Okay. Kwahiyo wengine wote na imani nyingine zote hazina maana wala ujumbe wa maana? Is that your point?

22e4ca4e1203b195935ba20e526be8ba.jpg
 
Hakuna aliyeondoa contradiction ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya?
 
Hakuna aliyeondoa contradiction ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu ambao unawezekana kuwa na mabaya?

Habari mkuu Kiranga.

Kuna mwanafalsafa mkuu wa Asia anaitwa Lao Tsu (The Dragon). He was so wise na ndio alipewa tittle ya The Dragon na symbolism yake kwa wisdom yake. He was a non religious man but very very wise. According to him, Every side is the nature of the universe too. Everything is connected and depend on each opposite side.

Katika kitabu cha Tao Te Ching ambacho kiliandikwa miaka 2500 iliyopita kuna utenzi alisema hivi...

"...When people see some things as beautiful, other things become ugly.

When people see some things as good, another opposite things become bad.

Being and non-being create each other.

Difficult and easy support each other.

Long and short define each other.

High and low depend on each other.

Before and after follow each other..."

492e48e495089bfeedb3788e08ce8c16.jpg


Mtu ukiacha logics za kuamini life should be good its a missing of ideas and reality. Wanaoamini hapo mwanzo kulikuwa hakuna sufferings hawajui sufferings ina maana gani. Hawaangalii deep kuwa this universe ina nature ambayo ipo perfect its just our rational mind kuweka imaginary ideas on the nature of the universe.

Its something deep only the wise will look clearly on the nature of the Universe. Everything is connected to each other, na uwepo wa something ndio unaopelekea uwepo wa opposite yake.
 
HHAHAHAHHAHHAHAHHAHAHHAH ndugu yangu naona umejitahidi kweli kujionyesha kuwa ww ni bora lkn wapi hatima ya kuingia peponi au kutokuingia iko mikononi mwako mwenyewe na si paa Mungu na yale unayoyafanya katika maisha yako ndio uthibitisho wa wewe luingia peponi au laah usijidanganye etii Mungu ndio anayejua ww binafsi mwenendo wako katika Kristo ndio utakaokupa ww tiketi ya kwenda peponi na si vinginevyo.Musa aliweza kumthibitisha Mungu wake na yule wa farao je wewe unashindwa nini kumtofautisha Mungu na shetani kama ww huwezi sio watu wote hawawezi.kuwa mwema kwa watu sio tiketi ndio kukufanya wewe kuwa bora mbele za watu unaweza kuwa mwema lakini kumbe ni mchafu mzinzi au mwasherati. hakuna mtu anaye mshuhudia asiyemjua mimi ninamjua Mungu naninavyomshuhudia hata kwenye maisha yangu nimemthibitisha kwa hiyo ninachokishuhudia ni kweli daima.barikiwa na hakuna mtu aliye mwema isipokuwa Mungu pekee ila tunafanyika wema pale tunapokumbuka kurejea kwenye kiti cha rehema tufanyapo dhambi.
Ona sasa nawe unataka kunidanganya.UNAMJUA??? How is that possible???

Hatima ya kwenda au kutokwenda sio ya mtu bali ni ya YEYE mjuzi wa yote... sijui kama unajua maana ya "Omniscient"??? Hawezi kujua mwanzo na mwisho wangu ukasema tena hatma ni yangu wewe.... Ukisema hatma ni ya mwanadam then Utakuwa unasema Bwana Mungu sio Mjuzi wa yote (Omniscient), sio alpha na omega (Omnipresent)... Utakuwa unamfananisha Mungu na Mwanasayansi aliyetengeneza kitu maabara ambacho hata yeye hakijui.
1475158827070.png
 
iko imani mmoja tu nayo ni ya kumwamini Yesu Kristo mwana wa Mungu hizo mbili unazungumzia ni dini na sio imani
Ase acha kupotosha ulimwengu. Atleast usiongee usilolijua kwa hofu hata ya huyo Yesu... Inashangaza unadanganya wazi wazi halafu unaona sawa tu.

Muogope basi Mungu kudanganya watu... Kabla ya kukimbilia kujibu mtu/watu, tafakari kwanza kama unachotaka kujibu ni sahihi... Usijeukawa miongoni mwa Waovu(wajinga)...
 
Katika maisha mkuu lazima tuwe open minded. Akili yetu iwe huru kufikiri. Kila tunaposoma na kujifunza turuhusu challenges na elimu mpya. Tuzisome kwa moyo wa kuelewa na nia. Then tukishasoma tunatumia akili zetu binafsi kuchambua na kuangalia facts zinavyosema. Yaani kwa maana kuwa tusi-settle katika elimu na kuridhika.

Ukiwa mtu wa namna hiyo utajikuta unasoma mengi na kuanza ku connects dots na unaelewa vitu katika ufahamu mbalimbali. Mfano mkristu anayeamini biblia tu na hajasoma vingine atatofautiana na mkristu anayeamini biblia na amesoma vingine. Elimu inamfanya mtu anakuwa juu na anaiona vizuri view ya chini. Sawa na ukiwa keleleni unaona bonde vizuri.

The more unavyojifunza vingi, the more unavyoona uhalisia vizuri.

Hata yule ambaye amebahatika akazaliwa na baba mwenye hekima na akafundishwa elimu ya kweli bado anatakiwa asome na elimu za uongo na atambue fahamu zilizopo ili ajue thamani ya ile elimu ya kweli. Pia atajua kujadiliana na watu kwa sababu anajua fahamu zao.

Hata mimi ambaye bado najifunza, hivi sasa bado kuna imani ambayo naona ina ukweli fulani kwa kiasi kikubwa. Na nikiona kuna nyingine inaizidi imani niliyonayo na ina ushahidi, nami nitaifuata na kuzidi kujifunza.
Mkuu umeeleza vizuri ila haiwezekani watu wote tukawa kama hivyo ulivyoeleza,huwezi ukawa unasoma imani nyingi kwa kusudio ya kwamba utaweza kukutana na ukweli zaidi ya imani uliyonayo.
 
Mkuu umeeleza vizuri ila haiwezekani watu wote tukawa kama hivyo ulivyoeleza,huwezi ukawa unasoma imani nyingi kwa kusudio ya kwamba utaweza kukutana na ukweli zaidi ya imani uliyonayo.

Inawezekana. Mimi mwenyewe nilikutana na imani ambayo ilijibu mengi kuliko imani niliyokuwa nayo.

Mkuu. Watu wengi wanaogopa kusoma zaidi katika imani mbalimbali ambazo hawapo. Kwa kuogopa kukuta elimu ambayo itawazidi logics na maana kuliko imani walizonazo. Au wengine wanaona wameridhika na wanachokifahamu.

Tukiishi kwa kuridhika na unachokifahamu utakuwa kipofu. Pia imani nyingi ambazo ni duni zinakataza kabisa wafuasi kujifunza mengi. Na huwa nikiona hivyo siamini kama hiyo imani ni ya kweli.

Imani ya kweli iruhusu watu kujifunza zaidi, iweke upendo hata kwa imani nyingine, itambue kila imani ina kitu cha kujifunza, ibadilike kuendana na ushahidi ulivyo hata kama itagusa mafundisho ya muanzilishi na isiamini mfuasi anatakiwa aijue tu hiyo na kumkataza kupima imani nyingine. Na imfundishe mtu kuchagua imani sahihi.

And above are the reasons I became a Buddhist. It is not a philosophy that force me to believe it is true, bali it teach me to use my common sense and a clear mind kujifunza elimu yoyote. does not force followers to believe everything is says, i does not say kuwa imani nyingine ni uongo, it does not say kuwa I am better than others but it says my actions are my only savior. No need to worship anyone, special day to pray, kupinga sayansi n.k. Na pia nakuwa huru kujifunza zaidi.

Lakini kama ningekwepo sio mpenzi wa kuingia misikitini hata kama nilikuwa mkristu, kupenda kujifunza imani mbalimbali nisingeweza kupata philosophy ambayo ingenifunza zaidi.

3b717e3cf8bb667c2b20507798c18243.jpg


498a2dcd8f241857fccba71e24962ae5.jpg
 
Habari mkuu Kiranga.

Kuna mwanafalsafa mkuu wa Asia anaitwa Lao Tsu (The Dragon). He was so wise na ndio alipewa tittle ya The Dragon na symbolism yake kwa wisdom yake. He was a non religious man but very very wise. According to him, Every side is the nature of the universe too. Everything is connected and depend on each opposite side.

Katika kitabu cha Tao Te Ching ambacho kiliandikwa miaka 2500 iliyopita kuna utenzi alisema hivi...

"...When people see some things as beautiful, other things become ugly.

When people see some things as good, another opposite things become bad.

Being and non-being create each other.

Difficult and easy support each other.

Long and short define each other.

High and low depend on each other.

Before and after follow each other..."

492e48e495089bfeedb3788e08ce8c16.jpg


Mtu ukiacha logics za kuamini life should be good its a missing of ideas and reality. Wanaoamini hapo mwanzo kulikuwa hakuna sufferings hawajui sufferings ina maana gani. Hawaangalii deep kuwa this universe ina nature ambayo ipo perfect its just our rational mind kuweka imaginary ideas on the nature of the universe.

Its something deep only the wise will look clearly on the nature of the Universe. Everything is connected to each other, na uwepo wa something ndio unaopelekea uwepo wa opposite yake.
Kufikiri nafuatisha logic ya kuamini life should be good ni kutoelewa nilichouliza.

Sijauliza kwa nini maisha yasiwe mazuri tu.

Nimeuliza kwa nini Mungu hayuko logically consistent.

Hivi ni vitu viwili tofauti.

Huyo mwanafalsafa wako anajichanganya kwa sababu ukimfuatisha utasema dunia ipo na haipo, wewe upo na haupo.

Kwa wakati mmoja huo huo.

That is meaningless.
 
Ningekuwa na muda ningekupa majibu lakini ntaleta Uzi wa majibu ya maswali yako soon
 
Kufikiri nafuatisha logic ya kuamini life should be good ni kutoelewa nilichouliza.

Sijauliza kwa nini maisha yasiwe mazuri tu.

Nimeuliza kwa nini Mungu hayuko logically consistent.

Hivi ni vitu viwili tofauti.

Huyo mwanafalsafa wako anajichanganya kwa sababu ukimfuatisha utasema dunia ipo na haipo, wewe upo na haupo.

Kwa wakati mmoja huo huo.

That is meaningless.

Kwanza ulipaswa kuelewa kuwa sipo kama najaribu kujibu swali lako bali nimejaribu kuongeza wazo kabla ya kuweka wazo la kusema umungu katika uumbaji na nature yake elewa kwanza nature ya kilichopo ndipo utaweza kushift kuangalia nature ya chanzo chake.


Kama huwezi kujua microscope inafanyaje kazi, huwezi kujua hata kinachochunguzwa kwa sababu hujui accuracy na validity of your tool.

Similar to our mind; kama hujui nature of your mind its useless kuwa na reasoning kwa sababu hufahamu kujua nature ya unachokitumia kureason.

Kama hujui nature ya universe and its laws and reality you will never understand the nature of its source.

Na pili hiyo concept is not about uwepo wa dunia na kutokwepo kwa dunia. Au uwepo wa kitu au kutokwepo kwa kitu. Its about the human perspectives from our own minds.

Be wise na don't take a paradigm that you don't understand yet to fit your understanding.
 
Inawezekana. Mimi mwenyewe nilikutana na imani ambayo ilijibu mengi kuliko imani niliyokuwa nayo.

Mkuu. Watu wengi wanaogopa kusoma zaidi katika imani mbalimbali ambazo hawapo. Kwa kuogopa kukuta elimu ambayo itawazidi logics na maana kuliko imani walizonazo. Au wengine wanaona wameridhika na wanachokifahamu.

Tukiishi kwa kuridhika na unachokifahamu utakuwa kipofu. Pia imani nyingi ambazo ni duni zinakataza kabisa wafuasi kujifunza mengi. Na huwa nikiona hivyo siamini kama hiyo imani ni ya kweli.

Imani ya kweli iruhusu watu kujifunza zaidi, iweke upendo hata kwa imani nyingine, itambue kila imani ina kitu cha kujifunza, ibadilike kuendana na ushahidi ulivyo hata kama itagusa mafundisho ya muanzilishi na isiamini mfuasi anatakiwa aijue tu hiyo na kumkataza kupima imani nyingine. Na imfundishe mtu kuchagua imani sahihi.

And above are the reasons I became a Buddhist. It is not a philosophy that force me to believe it is true, bali it teach me to use my common sense and a clear mind kujifunza elimu yoyote. does not force followers to believe everything is says, i does not say kuwa imani nyingine ni uongo, it does not say kuwa I am better than others but it says my actions are my only savior. No need to worship anyone, special day to pray, kupinga sayansi n.k. Na pia nakuwa huru kujifunza zaidi.

Lakini kama ningekwepo sio mpenzi wa kuingia misikitini hata kama nilikuwa mkristu, kupenda kujifunza imani mbalimbali nisingeweza kupata philosophy ambayo ingenifunza zaidi.

3b717e3cf8bb667c2b20507798c18243.jpg


498a2dcd8f241857fccba71e24962ae5.jpg
Mkuu ilivyo ni kwamba kinachotafutwa ni ukweli ili uufuate lakini siyo suala la kutafuta imani yenye mambo yenye kukuridhisha wewe. Unachokifanya wewe mkuu ni sawa mtu anaye mtafuta baba ake mzazi ambaye hamjui,lakini ameweka masharti huyo baba awe kafanana na yeye la sivyo hatokubali.

Mkuu sie kwani nani hadi huyo mungu afanye vile tutakavyo sie ndiyo tuamini?
Kwa shida gani hasa hadi mungu afanye vile tutakavyo ndiyo tuamini?
Hivyo unachotakiwa ni kuutafuta ukweli lakini hivyo unavyofanya si kuutafuta ukweli bali ni kutafuta yale unayoyata wewe.

Na mwisho mkuu sidhani kama kuna imani yenye kukataza kusoma imani zengine,mbona wakristo na waislamu kila mmoja anaweza kujifunza imani ya mwenzie na ndiyo maana hukuta wakifanya mihadhara. Au we ulikusudia vp mkuu?
 
Mkuu ilivyo ni kwamba kinachotafutwa ni ukweli ili uufuate lakini siyo suala la kutafuta imani yenye mambo yenye kukuridhisha wewe. Unachokifanya wewe mkuu ni sawa mtu anaye mtafuta baba ake mzazi ambaye hamjui,lakini ameweka masharti huyo baba awe kafanana na yeye la sivyo hatokubali.

Mkuu sie kwani nani hadi huyo mungu afanye vile tutakavyo sie ndiyo tuamini?
Kwa shida gani hasa hadi mungu afanye vile tutakavyo ndiyo tuamini?
Hivyo unachotakiwa ni kuutafuta ukweli lakini hivyo unavyofanya si kuutafuta ukweli bali ni kutafuta yale unayoyata wewe.

Na mwisho mkuu sidhani kama kuna imani yenye kukataza kusoma imani zengine,mbona wakristo na waislamu kila mmoja anaweza kujifunza imani ya mwenzie na ndiyo maana hukuta wakifanya mihadhara. Au we ulikusudia vp mkuu?

Muongozo. Nikisema kutafuta imani simaanishi imani au dini kama unavyojumuisha. Namaanisha elimu, bila kuiweka katika attachment ya dini yoyote. Elimu ambayo inaweza kutusaidia tukaelewa ulimwengu ulivyo, na sisi wanadamu tulivyo. Simaanishi kumjua Mungu yupi yupo sahihi au mungu wa nani ndio kweli. Actually I am agnostic person. I do not believe the existence of God and I do not say he doesn't exist. All I say is that I do not know. And neither everyone. To know God no knows him 100% na no one will because its beyond our ability. But first we have to understand ulimwengu kwanza na who are we. Na ndio elimu ninayoona ni vyema kuijua kwanza.

Pili ninaposema kutafuta elimu simaanishi kutafuta dini. Though kila dini ina elimu na imani yake. Kila dini inajaribu kusema tumetoka wapi, sisi ni nani, ulimwengu upo na kadhalika. Hivyo ni kuchambua maelekezo ya kila mmoja na kuyapima kuhusiana na ushahidi ulivyo.

Tatu: Nikisema dini kuwa free kuruhusu wengine kujifunza na kuamini kila imani ipo sahihi sio kweli kwamba ukristu na uislam upo hivyo. Sio kweli kuwa ukristu unamtazama muislam kama yupo sahihi au muislam anamtazama mkristu yupo sahihi. Na ninaweza kukupa ushahidi simple.

Mkristu na muislam hawezi kufunga ndoa ya kidoni na kubarikiwa na shehe au na padre ikiwa kila mmoja ana dini yake.
Mfano mwingine, mkristu anaamini yeye yupo salama na ameokoka na anaona muislam amepotea. Muislam anaona mkristu ni kafiri kwa sababu hakubaliana na mtume wake kwa sababu hawamjui mtume wake na mkristu.
 
Muongozo. Nikisema kutafuta imani simaanishi imani au dini kama unavyojumuisha. Namaanisha elimu, bila kuiweka katika attachment ya dini yoyote. Elimu ambayo inaweza kutusaidia tukaelewa ulimwengu ulivyo, na sisi wanadamu tulivyo. Simaanishi kumjua Mungu yupi yupo sahihi au mungu wa nani ndio kweli. Actually I am agnostic person. I do not believe the existence of God and I do not say he doesn't exist. All I say is that I do not know. And neither everyone. To know God no knows him 100% na no one will because its beyond our ability. But first we have to understand ulimwengu kwanza na who are we. Na ndio elimu ninayoona ni vyema kuijua kwanza.

Pili ninaposema kutafuta elimu simaanishi kutafuta dini. Though kila dini ina elimu na imani yake. Kila dini inajaribu kusema tumetoka wapi, sisi ni nani, ulimwengu upo na kadhalika. Hivyo ni kuchambua maelekezo ya kila mmoja na kuyapima kuhusiana na ushahidi ulivyo.

Tatu: Nikisema dini kuwa free kuruhusu wengine kujifunza na kuamini kila imani ipo sahihi sio kweli kwamba ukristu na uislam upo hivyo. Sio kweli kuwa ukristu unamtazama muislam kama yupo sahihi au muislam anamtazama mkristu yupo sahihi. Na ninaweza kukupa ushahidi simple.

Mkristu na muislam hawezi kufunga ndoa ya kidoni na kubarikiwa na shehe au na padre ikiwa kila mmoja ana dini yake.
Mfano mwingine, mkristu anaamini yeye yupo salama na ameokoka na anaona muislam amepotea. Muislam anaona mkristu ni kafiri kwa sababu hakubaliana na mtume wake kwa sababu hawamjui mtume wake na mkristu.
Kwahiyo wewe unaamini kwamba ulimwengu na vyote viijazavyo vilitokea kwa nasibu tu? Wote mnaokana kuamini uwepo wa Mungu hamjawahi kuthibitisha kwamba hayupo. Kusema kwamba kitu hakipo kwa sababu hujakiona haimaanishi kwamba hakipo. Huenda dini za wanadamu zikawa zinamuelezea Mungu tofauti sana lakini uwepo wa Mungu ni unathibitishwa ndani ya fahamu zetu. Hata kifaa unachotumia kuelezea imani yako mtandaoni hakukutokea kwa nasibu. Kila kitu ni kazi iliyofanywa na nguvu fulani inayoonekana au isiyoonekana.
 
Kwahiyo wewe unaamini kwamba ulimwengu na vyote viijazavyo vilitokea kwa nasibu tu? Wote mnaokana kuamini uwepo wa Mungu hamjawahi kuthibitisha kwamba hayupo. Kusema kwamba kitu hakipo kwa sababu hujakiona haimaanishi kwamba hakipo. Huenda dini za wanadamu zikawa zinamuelezea Mungu tofauti sana lakini uwepo wa Mungu ni unathibitishwa ndani ya fahamu zetu. Hata kifaa unachotumia kuelezea imani yako mtandaoni hakukutokea kwa nasibu. Kila kitu ni kazi iliyofanywa na nguvu fulani inayoonekana au isiyoonekana.

Damn! Another one.

First sijasema nakataa uwepo wa Mungu au chanzo, whatever you call it.

Pili hiyo sio logic. Kama unaamini kila kitu kina chanzo je chanzo cha chanzo chako ni nini? Na chanzo cha chanzo chake? Na chanzo cha chanzo cha chanzo chake? Na Je kama sisi ndio hatuna chanzo? Na je kama kuna chanzo chake ambacho hicho ndio hakina chanzo? Na je kama sisi ndio yeye na sisi ndio chanzo ila hatujui na lengo la safari ya maisha ndio tujijue? Kwanini ni rahisi kuamini tuna chanzo ambacho HAKINA CHANZO bali kipo tu, na ni vigumu kusema WE KNOW NOTHING kama tuna chanzo na hicho chanzo kina chanzo au hakina?

The truth is no one knows. We knows nothing. Sisi wenyewe hatujitambui ni nani na tunakimbilia kujifanya tunatambua chanzo chetu ni nani. Hatujui the universe tunakimbilia kujifanya tunajua chanzo chake.

Tunakuwa sawa na wale walioamini dunia ni flat kupitia dini zao. Sasa kama kitabu cha mungu wao kinasema dunia ni flat je maandiko yana ukweli 100%.

We knows nothing. Na bado tunajifunza mkuu. Tusikimbilie kuweka assumptions za uwepo wa kitu ambacho hatuwezi kujua na mpaka tunamaliza maisha haujui chochote wala kumuona. Wala kama yupo hataki ujifanye unamjua bali naamini kama yupo atataka kwanza wewe ujitambue. Ukimjua usimjue, uabudu usiabudu, yeye hatapungukiwa na chochote. Na probably sisi ndio yeye ila hatujijui na yakidunia yanatusahaulisha.

Lakini katika maisha haya je wewe kwanza unajitambua kwanza?what matters is not a belief of God or not, na ingekwepo hivyo wasioamini wangekuwa wanateseka na tungeona separations ya maisha kwa believers na nonbelievers. What is important is your actions and perceptions.

Narudia kauli yako ili nawe uitumie katika kujifunza.
Kusema kwamba kitu hakipo, haimaanishi kuwa hakipo na kusema kuwa kitu kipo, haimaanishi kipo.

Pia ukiwa unaleta argument na mimi kwanza tambua I am not atheist nor theist. Ili usinipe lawama ambazo hujui msimamo wangu mkuu.
 
Back
Top Bottom