moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,080
- 2,884
Habari wakuu,
Je, ni kwanini biblia imeandikwa kwa lugha ngumu hadi inapelekea watu wasiielewe na kufanya kila mmoja anakua na tafsiri yake?
Na kwanini wachungaji waliosoma theologia huwa wanaenda Kenya kupunguza au kuongeza maneno kwenye biblia? Na je hayo mamlaka wamepewa na nani?
Naomba tujuzane.
Je, ni kwanini biblia imeandikwa kwa lugha ngumu hadi inapelekea watu wasiielewe na kufanya kila mmoja anakua na tafsiri yake?
Na kwanini wachungaji waliosoma theologia huwa wanaenda Kenya kupunguza au kuongeza maneno kwenye biblia? Na je hayo mamlaka wamepewa na nani?
Naomba tujuzane.