TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,204
Kuna benki moja ya biashara yenye makao makuu yake Pugu Road yenye asili ya ki Nigeria iko kwenye hali mbaya sana kifedha na wateja walioshtuka wameanza kukimbiza amana zao kwa kuhofia usalama wa pesa zao.
Hii sio mara ya kwanza kwa benki ya ku Nigeria kufilisika na kuleta usumbufu mkubwa sana kwa wateja wao.
Meridean Biao ilianza kufa sasa inafuata hii benki ambayo inayatumia majengo ya Yusuf Manji yaliyopo sehemu mbalimbali za jiji kama matawi yake.
Hii sio mara ya kwanza kwa benki ya ku Nigeria kufilisika na kuleta usumbufu mkubwa sana kwa wateja wao.
Meridean Biao ilianza kufa sasa inafuata hii benki ambayo inayatumia majengo ya Yusuf Manji yaliyopo sehemu mbalimbali za jiji kama matawi yake.