Top Thinker
Senior Member
- Sep 8, 2011
- 183
- 125
Mara kwa mara huwa nafungua www.bbcswahili.com au www.bbc.co.uk/swahili lakini sikuti habari zozote kuhusu Tanzania. Hata zile ambazo ni top kwa Tanzania kama mgomo wa madaktari na sakata la Ulimboka.
Hivi kuna siri nyuma ya pazia au habari za Tanzania hazina umuhimu sana?
Hivi kuna siri nyuma ya pazia au habari za Tanzania hazina umuhimu sana?