Kwanini BANK za Tanzania zina Customer Service Mbovu

AirTanzania

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
1,139
1,033
Nimesikitishwa sana na Huduma zinazotolewa na bank za hapa nchini, huduma zao ni mbovu zisizojali wateja na wafanyakazi wa bank wanadharau utafikiri huduma hiyo ni ya bure kumbe unalipia all transaction na isitoshe pia kuwa mishahara yao inatokana na wateja kuweka au chukuwa pesa. Isitoshe ukiingia bank utamuona mfanyakazi wa bank anachezea kasimu kake kana kwamba wameajiriwa kuchezea simu. Ukiomba kukutana na Meneja ili utoe malalamiko utazungushwa na kuulizwa maswali utafikiri umekamatwa na polisi kwa kosa la kuua. Kwa nyie Mameneja na vibaraka wenu mnaofanyakazi za bank kuweni wastaarabu kwa kuwasiliza wateja. Ninavyojua mimi kuwa Bank hairuhusiwi kuzungumza na simu wala kuchezea simu ikiwa na maana kuwa kama mtu amekuja kuchukuwa pesa halafu kama unawaambia vibaka nje kuwa mtu amevaa ngu rangi hiyo amechukuwa kiasi hicho, kutumia simu Bank ni uhalifu hasa kama mfanyakazi wa ndani. Kwa kweli sifurahiwi na huduma zenu.
 
kaka nakushauri kama una pesa bongo ziwekeze kwemye miradi au ukishindwa fukia chini home kwako kwani benki za bongo ni full maumivu hakuna hata benki moja inayojali wateja! pesa za kwako lakini maumivu unayopata hayana maelezo.
 
Mkuu imenitokea hata mimi hasa NBC ninauzoefu nayo huwa nachukia sana!
 
Nimesikitishwa sana na Huduma zinazotolewa na bank za hapa nchini, huduma zao ni mbovu zisizojali wateja na wafanyakazi wa bank wanadharau utafikiri huduma hiyo ni ya bure kumbe unalipia all transaction na isitoshe pia kuwa mishahara yao inatokana na wateja kuweka au chukuwa pesa. Isitoshe ukiingia bank utamuona mfanyakazi wa bank anachezea kasimu kake kana kwamba wameajiriwa kuchezea simu. Ukiomba kukutana na Meneja ili utoe malalamiko utazungushwa na kuulizwa maswali utafikiri umekamatwa na polisi kwa kosa la kuua. Kwa nyie Mameneja na vibaraka wenu mnaofanyakazi za bank kuweni wastaarabu kwa kuwasiliza wateja. Ninavyojua mimi kuwa Bank hairuhusiwi kuzungumza na simu wala kuchezea simu ikiwa na maana kuwa kama mtu amekuja kuchukuwa pesa halafu kama unawaambia vibaka nje kuwa mtu amevaa ngu rangi hiyo amechukuwa kiasi hicho, kutumia simu Bank ni uhalifu hasa kama mfanyakazi wa ndani. Kwa kweli sifurahiwi na huduma zenu.


Nenda KCB wako kiKENYA KENYA!
 
Nenda KCB wako kiKENYA KENYA!

Mkuu nazungumzia Bank za hapa nyumbani jinsi zilivyokuwa na huduma mbaya, hayo mambo ya Kikenya Kenya sijui kwa kuwa sijawahi kusafiri Kenya na siwezi kuzungumzia mambo ya Kenya. Nafikiri umenielewa kuwa huduma za bank zetu hapa nyumbani is poor service kwa wateja
 
Tatizo wao wamelogeka kuwa CC wahudumu wanatakiwa wawe wanawake. wanawake wakiwa CC sehemu yoyote nenda utaikuta huduma ni mbaya tu, kwani kujipodoa kunakuwa kwingi na wengine wanachukulia kama ni fulsa ya kujiuza. Ivi nani kaenda CC makao makuu Stanbic bank? wale madada wanashindana kukaa uchi na kuvaa viatu virefu. Hali hiyo huwafanya wawe na malingo kupita maelezo. Na katika post fulan iliyokuwa inasema kuwa 45% wanawake wanagongwa kabla ya kupata kazi basi most of them ni hao
 
mm nilishaacha kutumia benki za benki, pesa zangu zote nazichimbia home tu hakuna usumbufu shwari kabisa!
 
Tatizo si benki bali na wateja wenyewe. Leo mtu anakwenda anakumbana na huduma mbovu halafu anaendelea kubembeleza. Hata dukani mtu anakwenda kununua anaibiwa na kesho anakwenda duka lilelile. Dawa ni kufunga akaunti. Kila mtu anatakiwa akikutana na huduma hii, hapo hapo anaanza taratibu za kufunga akaunti, watanyooka tu hawa. Maana kuna watu wanapewa target za kutafuta customers wenyewe wanacheza na customers. Mchezo wa kuongea na simu kazini ni mbaya saana na umeota mizizi Tanzania tena si benki tu.
 
CRDB nadhani kwa sasa wamepata kiburi baada ya kuwa na wateja wengi mno...., ni masharobaro wa kufa mtu!
Jambo la kwanza linaloniboa sana mimi ni kitendo cha kuwa na vibanda 6 vya tellers, halafu unakuta cashiers wako wawili tu, vibanda vingine viko empty!...Natamani niingie kule ndani wanakozunguka zunguka na kuwakwida kuwapeleka kwenye vibanda vya cashier.
Hata cashier anayekuwa kibandani unakuta anajigeuzageuza tu, wala hajali fioleni iliyo mbele yake!
Kwakweli dawa ni kufunga account tu!
 
kaka nakushauri kama una pesa bongo ziwekeze kwemye miradi au ukishindwa fukia chini home kwako kwani benki za bongo ni full maumivu hakuna hata benki moja inayojali wateja! pesa za kwako lakini maumivu unayopata hayana maelezo.

Mkuu hapo umenena benki zote bongo ni maumivu. Customer service is below ZERO. Yaani we acha tu.
EXIM Bank ndio balaa tupu
 
CRDB nadhani kwa sasa wamepata kiburi baada ya kuwa na wateja wengi mno...., ni masharobaro wa kufa mtu!
Jambo la kwanza linaloniboa sana mimi ni kitendo cha kuwa na vibanda 6 vya tellers, halafu unakuta cashiers wako wawili tu, vibanda vingine viko empty!...Natamani niingie kule ndani wanakozunguka zunguka na kuwakwida kuwapeleka kwenye vibanda vya cashier.
Hata cashier anayekuwa kibandani unakuta anajigeuzageuza tu, wala hajali fioleni iliyo mbele yake!
Kwakweli dawa ni kufunga account tu!

Wengi wao ni mbumbu kabisa wanadhani zile pesa strong Room ni za baba zao na hapo ndipo kiburi kinapoanzia!!!!!!
 
Exim Bank Tawi gani mkuu? Kuna matawi karibu 22 sema Tawi gani mkuu?

Tawi la Tanga ndio linaongoza kwa huduma mbovu, na yooote ya hapa Dar. Nimekuwa nikipata kero kila toka tawi moja hadi lingine hapa Dar. Sina hamu
 
Tusiwalaumu sana, HAPA TANZANIA NIMETAFITI KATIKA UNIVERSITIES ZOTE LAKINI HAKUNA COURSES ZA CUSTOMER CARE. Ikumbukwe...ili mtu awe ni customer care mzuri basi yampasa aelewe na kuzingatia (practically) juu ya ethics za kazi hiyo. Kiufupi SI BENKI PEKE YAKE, BALI TAASISI NYINGI NA MAKAMPUNI MENGI HAYANA PROPER CUSTOMER CARE AIMED AT DELIVERING QUALITY SERVICE. Nimetafiti hili kwa kitambo, wengi wa customer care representatives/agents ni aidha 'wameletwa' au wapo on transit kuelekea ktk fani zao husika.
 
CRDB nadhani kwa sasa wamepata kiburi baada ya kuwa na wateja wengi mno...., ni masharobaro wa kufa mtu!
Jambo la kwanza linaloniboa sana mimi ni kitendo cha kuwa na vibanda 6 vya tellers, halafu unakuta cashiers wako wawili tu, vibanda vingine viko empty!...Natamani niingie kule ndani wanakozunguka zunguka na kuwakwida kuwapeleka kwenye vibanda vya cashier.
Hata cashier anayekuwa kibandani unakuta anajigeuzageuza tu, wala hajali fioleni iliyo mbele yake!
Kwakweli dawa ni kufunga account tu!


Mkubwa umenikumbusha, kuna dada CRDB , Udsm branch, watu wengi sasa wameamua kufunga akaunti zao kutokana na kauli mbovu za huyu dada.
 
Nimesikitishwa sana na Huduma zinazotolewa na bank za hapa nchini, huduma zao ni mbovu zisizojali wateja na wafanyakazi wa bank wanadharau utafikiri huduma hiyo ni ya bure kumbe unalipia all transaction na isitoshe pia kuwa mishahara yao inatokana na wateja kuweka au chukuwa pesa. Isitoshe ukiingia bank utamuona mfanyakazi wa bank anachezea kasimu kake kana kwamba wameajiriwa kuchezea simu. Ukiomba kukutana na Meneja ili utoe malalamiko utazungushwa na kuulizwa maswali utafikiri umekamatwa na polisi kwa kosa la kuua. Kwa nyie Mameneja na vibaraka wenu mnaofanyakazi za bank kuweni wastaarabu kwa kuwasiliza wateja. Ninavyojua mimi kuwa Bank hairuhusiwi kuzungumza na simu wala kuchezea simu ikiwa na maana kuwa kama mtu amekuja kuchukuwa pesa halafu kama unawaambia vibaka nje kuwa mtu amevaa ngu rangi hiyo amechukuwa kiasi hicho, kutumia simu Bank ni uhalifu hasa kama mfanyakazi wa ndani. Kwa kweli sifurahiwi na huduma zenu. [/COLInstead, try to understand us and help usLike we did when you were young.Help us to walk.Help us to live the rest of our life with love and dignity.We will pay you with a smile and by the immense loveWe have always had for you in our hearts.OR]

Mi napokwenda bank nikikutana na CC mwanaume mwenzangu at least huwa na breath a sigh of relief lakini si vile vinuka mkojo vilivyomaliza form six juzi na vi simu vyao vya mchina!
 
Mi napokwenda bank nikikutana na CC mwanaume mwenzangu at least huwa na breath a sigh of relief lakini si vile vinuka mkojo vilivyomaliza form six juzi na vi simu vyao vya mchina!

Mkuu nilitaka kukimbilia kale ka report botton lakini nikagundua kuna ukweli asilimia 120 kwenye hii kauli yako.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom