Tulidokezwa humu kuwa kuna wazee wa kazi watatu walioandaliwa kummaliza kiukweli baada ya kukiuka masharti! Tunazidi kutikiswa kwakweli!Yap....nami nimemsoma Balali wa Tweet anatisha!....Sisi husema, Allahu Yaalam!
Maisha mengine dah,yaani jamaa anaishi kwa kujifishafisha kama digidigi.Hata kama una mihela kibao,hata maisha yenyewe uya enjoy wala nini
Sijui wamemdhulumu nini huko aliko?
Sijui wamemdhulumu nini huko aliko?