Mbaha
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 697
- 73
Inawezekana Kama kweli amekufa alikuwa ameukana uraia wa Tanzania. Pili labda aliacha wosia kwamba akifa asizikwe Tanzania ni mambo binafsi. Alikaa huko USA kwa miaka mingi na alikuwa na nyumba yake huko. Tumwache apumzike. Tupambane na Ndullu afanye kazi kwa tija yaliyopita SI ndwele tugange yajayo!:A S 465:
Indeed!!!.. Tumuache apumzike... aendelee kula bata mwanawane!!!!