Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Acha matusi Arusha ni kama sehemu nyingine yoyote katika Tanzania sema UBINAFSI UDINI NA UKANDA ndo umewajaa sana na watu wengi wa Arusha wanaona Chadema ndo mali yao kwakuwa kina Mwenyekiti ambae ametokea Hai na ni mkwe wa muasisi wa Chadema pia Katibu Mkuu ni kutoka Mbulu hivyo kutokana na ubinafsi walokuwa nao wanaona hawana Chama cha kushabikia zaidi ya Chadema na ajenda yenu ya kutaka kuwatumia Watanzania wengine kwa kuwadanganya kuwa Chadema itawaletea ukombozi watu washagutuka na hiyo ajenda ya SIRI!
Mtakaotetemeka midomo kwa kusema uongo siku za mwisho mtakuwa wengi,unaingiza udini ukabila ktk chama kinachotetea maslahi ya Wtz wote!!?