kwanini anazungumziwa dr.slaa na kikwete pekee?

bojuka

Senior Member
Sep 9, 2010
128
1
kila kukicha wagombea wanaozungumziwa ni dr.slaa na kikwete .nilisikia kuwa kuna wagombea 9 waliosimama kwa nafasi ya urais. AU NDIO STRIKERS .
 
Mgombea mwenza wa chama cha NCCR anaumwa. Wamesimamisha mikutano yao na wanatarajia kumleta Dar kwa matibabu akitokea Pemba.
 
Mod

Kwenye thread jukwaa la uchaguzi 2010 siwezi kuchangia maana naona kama nimezuiwa inawezekana?
 
wame kuwa wengi mno,so wenye uhai ndio wana ongelewa sana,ume msahau na lipumba maana ana ongelewa pia sometimes kama hawa wawili
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom