akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 788
- 524
Jamani nakereka sana na hiyo hari maana naona ni jinsi gani wabongo tunavyo copy na ku paste.
Au utakuta kila mjengo una kavaranda pale mbele ya nyumba halafu nyumba haina hata hewa, yaan mmh!!!.
Huwa najiuliza hii design tume I copy wapi? Yaan km sote tuko hivyo basi sishangai mambo yayoendelea dodomA na hapo ikulu.
Mbaya zaidi utakuta eti kajenga vyumba vitatu vya kulala lakin lazima kimoja hakina madirisha mawili au unakuta sebureni hapaKaliki maana joto la kufa mtu. Jamani...kweli...wabongo hatuna uwezo wa. Ku design mijengo yetu ya akina hoe hae yenye hewa na mwanga wa kutosha? Mi sitaki kuamini. Yaani tunashindwa hata ku position mjeNgo kwa kuangalia halia ya hewa na jua linazamia wapi ili kusudi muda wote nyumba inakua kivulini (poleni kwa wasio na miti ila pia pandeni miti...)
Aisee yaani kwangu mimi hili ni liu gonjwa BAYA sana na ndo maana naomba Dr utushauri....!!!
Au utakuta kila mjengo una kavaranda pale mbele ya nyumba halafu nyumba haina hata hewa, yaan mmh!!!.
Huwa najiuliza hii design tume I copy wapi? Yaan km sote tuko hivyo basi sishangai mambo yayoendelea dodomA na hapo ikulu.
Mbaya zaidi utakuta eti kajenga vyumba vitatu vya kulala lakin lazima kimoja hakina madirisha mawili au unakuta sebureni hapaKaliki maana joto la kufa mtu. Jamani...kweli...wabongo hatuna uwezo wa. Ku design mijengo yetu ya akina hoe hae yenye hewa na mwanga wa kutosha? Mi sitaki kuamini. Yaani tunashindwa hata ku position mjeNgo kwa kuangalia halia ya hewa na jua linazamia wapi ili kusudi muda wote nyumba inakua kivulini (poleni kwa wasio na miti ila pia pandeni miti...)
Aisee yaani kwangu mimi hili ni liu gonjwa BAYA sana na ndo maana naomba Dr utushauri....!!!