Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Nov 25, 2010 62,204 128,012 May 16, 2011 #1 huyu mwanadada anoana mungu alikosea kuumba
Babu Lao JF-Expert Member Nov 2, 2010 2,043 179 May 16, 2011 #2 Daudi mchambuzi said: huyu mwanadada anoana mungu alikosea kuumba Click to expand... Safi sana huyu dada hataki adha ya kuwa anatema mate... yakijaa mdomoni yanatoka yenyewe!!
Daudi mchambuzi said: huyu mwanadada anoana mungu alikosea kuumba Click to expand... Safi sana huyu dada hataki adha ya kuwa anatema mate... yakijaa mdomoni yanatoka yenyewe!!
R rachel kusia Member Mar 7, 2008 28 2 May 17, 2011 #3 Alichofanya ndicho sicho. Atajutia katika maisha yake. Mungu hadhihakiwi. Natoa mwito kwa wote wenye kupenda kuiga, hili walikimbie kama ukoma.
Alichofanya ndicho sicho. Atajutia katika maisha yake. Mungu hadhihakiwi. Natoa mwito kwa wote wenye kupenda kuiga, hili walikimbie kama ukoma.
HOMOSAPIEN JF-Expert Member Mar 31, 2011 745 271 May 17, 2011 #5 Picha ya kimagumashi hii,imetengenezwa
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 May 17, 2011 #6 hii picha imetengenezwa...hebu legezeni misimamo kidogo. mnatuaibisha bandugu bapenzi.
golwebo_mkuu JF-Expert Member Mar 31, 2011 2,271 688 May 17, 2011 #7 urembo tu huo, msiogope...je na wale wanaojitoga ulimi, vitovu, na maeneo laini mtasemaje?
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,005 10,632 May 17, 2011 #8 Mbona anatisha,urembo gani huo?