GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Kuna mambo huwa yanashangaza na pengine kuchekesha, ni kisa cha
huyu Jirani yangu.
Kila siku amekuwa akimsimulia mkewe juu ya wapenzi wake wa zamani
hasa pale anapowaona akiwa na mkewe, atamweleza tu "ah! yule nimetembea naye, lakini
hivi na vile......" ni kitu ambacho amekuwa akipenda kusimulia. Lakini mwanamke
hajaonyesha kukerwa na simulizi hizo badala yake amekuwa akicheka.
Jioni ya juzi J'tano, wakakutana na Lori ambalo lilikuwa linaendeshwa na
jamaa mmoja ambaye alileta Mzigo pale Buguruni Sokoni, huyo dereva
ni mwembamba, mweusi mfupi.
Mwnamke akaanza kumzungumzia akifikiri kuwa litakuwa jambo la kawaida
kwa mumewe.
"Mume wangu, yule jamaa nimewahi kutembea naye mwaka juzi, usimuone
vile na wembamba na ufupi wake yaani ana****** kubwa mpaka nilikimbia
gesti yaani siwezi kumsahau yule baba." Ile simulizi ilimchukiza mumewe
na hivi ninavyozungumza leo saa 10 Alfajir yule mwanamke ameachwa kisa
ni hiyo simulizi tu!
Jamani kwani ni kosa kusimulia mambo yaliyopita?
huyu Jirani yangu.
Kila siku amekuwa akimsimulia mkewe juu ya wapenzi wake wa zamani
hasa pale anapowaona akiwa na mkewe, atamweleza tu "ah! yule nimetembea naye, lakini
hivi na vile......" ni kitu ambacho amekuwa akipenda kusimulia. Lakini mwanamke
hajaonyesha kukerwa na simulizi hizo badala yake amekuwa akicheka.
Jioni ya juzi J'tano, wakakutana na Lori ambalo lilikuwa linaendeshwa na
jamaa mmoja ambaye alileta Mzigo pale Buguruni Sokoni, huyo dereva
ni mwembamba, mweusi mfupi.
Mwnamke akaanza kumzungumzia akifikiri kuwa litakuwa jambo la kawaida
kwa mumewe.
"Mume wangu, yule jamaa nimewahi kutembea naye mwaka juzi, usimuone
vile na wembamba na ufupi wake yaani ana****** kubwa mpaka nilikimbia
gesti yaani siwezi kumsahau yule baba." Ile simulizi ilimchukiza mumewe
na hivi ninavyozungumza leo saa 10 Alfajir yule mwanamke ameachwa kisa
ni hiyo simulizi tu!
Jamani kwani ni kosa kusimulia mambo yaliyopita?