jana baada ya budget dhaifu,komba alianzisha wimbo wa kusifia magamba kwa kutaja jina la chama.sasa kati ya watu wa liosema ndiyo kwa budget dhaifu mh,cheyo nae alikiua mmoja wao.
pia kwa upeo niliokuwa nao nilijua budget ile ilikuwa ya matumizi ya watanzania wote,kwa kutojali wanatoka chama gani,ila baada ya kusikia ule wimbo,nikaelewa kuwa ile budget ni ya chama na kuipitisha sio msimamao wa mbunge mmoja mmoja ila maelekezo ya chama.yawezekana mtazamo wangu hauko sawa,naomba wadau mnisaidie.
pia kwa upeo niliokuwa nao nilijua budget ile ilikuwa ya matumizi ya watanzania wote,kwa kutojali wanatoka chama gani,ila baada ya kusikia ule wimbo,nikaelewa kuwa ile budget ni ya chama na kuipitisha sio msimamao wa mbunge mmoja mmoja ila maelekezo ya chama.yawezekana mtazamo wangu hauko sawa,naomba wadau mnisaidie.