aaah sana tu ...yaani mi mwenyewe najipongeza...na kumshukuru Mungu actualy...nini tena nimekuchekesha!!?mmhhh big up kaka ..na hongera kwa mke mzuri anayejiheshimu ..haa haaa ila umenichekesha nimefurahi
siku zote usipomsifia mwenzii wako mpaka w nje wamsifu utaumia..ukiona wenzio wanamsifia ujue kuna jambo..!!Nimependa unavyomuelezea wife naona na image yake imekujia (nimejikuta natabasamu)
Jameni mliooa jibu hili swali....
.......kuna mwanaume mwingine mkewe akiulamba kama hajapenda, basi anampiga stop hadi kupanda kwenye gari yake.....na safari itakufa kisa mavaziiii!! Wanaume jamani hebu waacheni wenzi wenu waendelee kuvaa mavazi ya usichana.
Bora uwaulize maana kuna watu wanajua kuwachujisha wake zao. Kabla hajaolewa alikuwa anatupia pamba za ukweli ushamuoa unamvalisha makaniki.
Sijui labda sijabahatika kukutana na Sampuli ya wakaka/baba wasio taka wake zao wapendeze. What I know ni kua ila anataka ukipendeza saana (extremely) labada muwe woote. IMO Hakuna kitu ambacho kinaongeza pride kwa mume mke akijipenda na kuonekana mrembo siku zoote hasa mbele ya rafiki zake. Haya mambo haya ya feeling good daima hayabadiliki... Kila mwanadamu (mara nyingi) hupenda kuwakilisha what s/he deems kua ni chake kiwe kizuri na kuvutial. Ila tu nishawahi ona baba mmoja... Mkewe alikua akipendeza mno ni mawili, yeye atampeleka mkewe anakoenda (atavuruga ratiba zake zoote) OR atamwambia akavae nguo nyingine.....lol... Wanaume hawa bana!
Kwa wanaume mli-ooa(married) hivi kwanini baadhi yenu mkeo akipendeza mnanuna? (naongelea age mate kati ya 29-35..huko kwingine sijafikia (time will tell)
wakati mkiwa wote labda mmekaa mahali akipita mwanadada kapendeza zake tuseme kiumri hawapishani sana na mkeo mnajiiba- iba kuwatizama,haya mimi name nikipigilia vivazi vyangu na kaleswig kangu+ mekup zangu we unanuna..kwanini lakini au ndio eti mwingine anapenda wadada wanaovaa min sket ila mkewe anampelekea midabwada kisa mke wa mtu ?mi ukileta sivai ng'o au ntapeleka kwa fundi atengenezee vizuri - Kwani nani kasema kuwa mkeo hatopendeza na hizo min sket ? hebu ushauri wenu jamani
Kupendeza kwanza ni sifa kwa mumeo lkn inategemea na aina ya mavaz kwan unapokuwa wfe of someone unatakiwa kuendana na hali coz unakuwa kioo kwa wanao swala"mama ukivaa min mwanao atajfunza nn"so kwanza mavaz mengine ni vishawsh kwa watu wengine kwa hiyo pendeza lkn kiheshima sio kuacha sehemu yako ya mwili waz kama unatamansha wengine,ndo hapo tu tunapokosana.
Huo umri bado sana,
Kwa sie tulio kati ya 40-70, bibi akipendeza unakenunua meno yote 32 au mapengo kwa wale ambao meno yameanza kupukutika kama maembe ya msimu!!
Mkikua mtaacha tu...Mwombe Mungu awaongezee chumvi kidogo!!