Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
JAMANI HILI LIMEKUA LIKINIKERA muda sasa...sioni ulazima wa almost vyombo vyote vya habari kurusha matangazo ya taarifa za habari saa mbili usiku, utakuta ITV, TBC, STAR TV, na nyinginezo isipokuwa channel ten ambao ni saa moja , matangazo yao ya habari ni saa 2, wote..wadau tunakosa kuangalia habari from different sources kwa mtindo huu..kuna haja ya kuliangalia na hili pia..ili tuwe na wide sources of info..