ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Hivi karibuni wakati Mhe. Rais alipotembelea mawizara na taasisi za umma, kuna masuala mengi ambayo watumishi wa umma walidadisi. Kubwa ambalo lilijitokeza ni utaratibu uliotumika na watu wa usalama kuwadhibiti watumishi hao kuingia maofisi. Sina hakika kama ilitokea katika ziara zote, lakini kwa baadhi ya maeneo, wanausalama waliwasili mapema sana wakia na mashine ya utambuzi kwa ajili ya kukagua watumishi (body scanner) ambazo zilifungwa na watumishi wote kutakiwa kupitia mlango mmoja tu. Nadhani hata kiti kilikuwa kina fanana rangi..sijui kile kile kila Wizara au lah!!.
Utaratibu huu haukutumika mwaka, 2006 katika ziara inayofaanana na hii ya juzi juzi.. wengi walijiuliza "kuna nini mpaka mkuu ashindwe kuwaamini hata watendaji wa Serikali yake??"
Wengi walijiuliza
Utaratibu huu haukutumika mwaka, 2006 katika ziara inayofaanana na hii ya juzi juzi.. wengi walijiuliza "kuna nini mpaka mkuu ashindwe kuwaamini hata watendaji wa Serikali yake??"
Wengi walijiuliza