Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Haika ngekukundi so much .umesema kweli,hakunaga kama wachaga hapa bongo.
yani umeniacha mbavu sina! Ivi kwelie??? Manake mijadala ya makabila humu ndani wachaga kweli wanaongoza, hate speeches, kwa kweli wachaga tuko juu kwa kusemwa, hayo mengine mie sijui.
Kwa sasa na mie nimekuja migombani toka mbali sana, gharama ni kubwa ila i do not regret, kila asubuhi na jioni nasali kwenye makaburi ya wakwe zangu napata faraja kuwakumbuka, nawamiss sana.
Ila xmas bila wazazi huku inahitaji kampani sana,
kati ya stori zilizoibuka jana wakati wa kutoka kanisani ni changamoto ya wanaume vijana wa sasa kuleta heshima kama wazazi wao.
Nimezunguka kiasi Tz ni kweli vijiji vingine si vya kwenda kupumzika,
mfano hali ya hewa, huduma za kijamii ni bora kuliko mjini mara dufu.