Kwani kila krismas lazima wachaga waende Moshi, je ni kweli kuwa......

Haika ngekukundi so much .umesema kweli,hakunaga kama wachaga hapa bongo.
yani umeniacha mbavu sina! Ivi kwelie??? Manake mijadala ya makabila humu ndani wachaga kweli wanaongoza, hate speeches, kwa kweli wachaga tuko juu kwa kusemwa, hayo mengine mie sijui.
Kwa sasa na mie nimekuja migombani toka mbali sana, gharama ni kubwa ila i do not regret, kila asubuhi na jioni nasali kwenye makaburi ya wakwe zangu napata faraja kuwakumbuka, nawamiss sana.
Ila xmas bila wazazi huku inahitaji kampani sana,
kati ya stori zilizoibuka jana wakati wa kutoka kanisani ni changamoto ya wanaume vijana wa sasa kuleta heshima kama wazazi wao.
Nimezunguka kiasi Tz ni kweli vijiji vingine si vya kwenda kupumzika,
mfano hali ya hewa, huduma za kijamii ni bora kuliko mjini mara dufu.
 
Jews of Tanzania in terms of what?
Je ni ule uteule waliopewa na mungu?
Je ni kile kipaji walichonacho katika uvumbuzi na utengenezaji wa silaa za maangamizi?
Je ni ule uzalishaji wa matunda kwa kiasi kikubwa?

Sifa za hawa jamaa zinapishana sana na zile za pande yenu,sifa mojawapo ni unywaji wa pombe kama wewew mwenyewe ulivyoainisha,wizi na dhuruma huwezi kuvitenganisha na jamii yenu!
teh teh teh! Kimekuuma sana nini? Penye mzoga ndipo wakusanyikapo tai.....utajiju!
 
yani umeniacha mbavu sina! Ivi kwelie??? Manake mijadala ya makabila humu ndani wachaga kweli wanaongoza, hate speeches, kwa kweli wachaga tuko juu kwa kusemwa, hayo mengine mie sijui.
Kwa sasa na mie nimekuja migombani toka mbali sana, gharama ni kubwa ila i do not regret, kila asubuhi na jioni nasali kwenye makaburi ya wakwe zangu napata faraja kuwakumbuka, nawamiss sana.
Ila xmas bila wazazi huku inahitaji kampani sana,
kati ya stori zilizoibuka jana wakati wa kutoka kanisani ni changamoto ya wanaume vijana wa sasa kuleta heshima kama wazazi wao.
Nimezunguka kiasi Tz ni kweli vijiji vingine si vya kwenda kupumzika,
mfano hali ya hewa, huduma za kijamii ni bora kuliko mjini mara dufu.

Ni kweli nilikuwa likizo mwezi wa 12 mwanzoni mpaka katikati, na vijana wengi niliowakuta machame wamekuwa walevi wa mbege na gongo kupindukia...maendeleo na heshima haviwezi kuja kwa style hiyo. Changamoto hii ni kubwa...ila fursa za zamani na sasa ni tofauti za sasa ni finyu.
 
sale sale mauwa asiyejua kuchagua kabilake mzigua. haoooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!
na bado tutaji te nga , tuwna wapa tafu alafu mnaleta nyodo mnge kua mnajua kuiga yote hayo yangetoka wapi lakini mnabakia palepale.
 
Back
Top Bottom