Mtakufa na kijiba cha roho mnaowaonea wivu wachaga kwenda kwao.
Kila siku wachaga tunazungumziwa hapa JF,inaonesha ni kabila classic hapa Tz.
wapo wanaodai kuwa wachaga hupenda kwenda moshi wakati wa krismas
kufanya madhambi kama ngono baina ya hata ndugu yaani watoto wa baba mdogo au mkubwa, wajomba hata wakwe hapa hujaingiza ngozo za kawaida.
Kuwa wanakwenda kuonyeshana pesa waliyochuma nje ya mkoa hasa kwa njia haramu na mauza uza mengine. Kweli hapa ukimwi tutaushinda yarabi?
jawabu sahihi hapo ni takataka zisizo nawe ni mzaramo nini au mkweree????!!! upupu+mashudu=pumba. inakuuma sana bac kajinyonge
kwani kila mwanamke lazima atolewe bikira??
Jamaa huyu mimi ninamheshimu sana,cha msingi ni kuchukulia kama ameteleza tu!Didy....hii imejichomekeaje hapa.....?
kwa hiyo moshi ni peponi?moshi hakuna vigagula.kama kwenu.
Chongeni tu kuhusu the jews of Tanzania mie napata mbege na family members after tht naenda kuzchanga tena niweke mjengo wa pili hapa migombani! Utajiju arifu!
Wachaga ni kabila celebrity hapa.......
kwa hiyo moshi ni peponi?
Mwenzenu nimeuliza tu halafu nyinyi mnanishambulia. Kwanini msijibu hoja kwa utuo na maarifa badala ya matusi na hasira. Kama wanafanya hivyo wakulaumiwa siyo muulizaji.