isamilo1982
Member
- Jan 17, 2012
- 55
- 5
mimekuwa msomaji mzuri wa jf mpaka nilipokata shauri kujiunga,lakini kinachonishangaza mwenzenu iv kwa nini m2 akisema anahitaji mwenza ndani ya hili jukwaa jamani mbona huwa anazodolewa sana?nilikuwa nataka namie nijaribu bahati yangu lakini mbona mwantisha munaniogofya du!:shock::shock: