Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Siishii hapo tu, na limbwata namnunulia ili aniwekee zaidi na zaidi........Ndio maana na mie nakupenda babu,
Japo sijui kiwango chako cha kunipenda kimeongezeka au nikile kile!
Kiukweli linapokuja swala la watu kupendana kwa dhati km Babu ODM na bibi yetu MATESHA,
Umri munabaki kuwa namba tu,ndio maana some time babu anaendaga sokoni na kumsaidia bibi kupika lol!