Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Kuna hatari ya kuifanya CHADEMA CCM-B, kama halijafanyika tayari.
Despite all the hullaballoo about change and all that jazz.
Kwa wabunge hao walionao hakuna change itakayotokea siku mbili hizi. Ujue Regia ni Waziri Kivuli wa Ajira na Vijana!
Pata picha ingelikuwa CHADEMA imeshinda huyo ndo angekuwa Waziri (?)