Ni moja ya sifa ambazo Mungu alimpa sasa mimi nifanyaje?
Huyu hapa kashaona ukiwa critical kuhusu mbunge wa CHADEMA lazima we ni clique ya CCM. Kazi kweli kweli, check my record hapa.
Nimesema hizo sifa za energetic, patriotic, confident etc zilizotajwa hazijawekewa specifics.
Mna kitu gani hususan cha kutuambia umahiri huu ukubalike, tusione mnampigia debe rafiki yenu tu?
Beauty si criteria ya umahiri wa kisiasa kwa sababu siasa si beauty contest, kwa hiyo mleta mada kwa kuweka criteria ambayo haihusiki katuonyesha hayuko makini, na pengine ameweka hapa sifa za kilemba cha ukoka kutokana na matamanio yake ya kimwili tu.
Mpaka sasa umahiri sijauona, sanasana wengine wamekuja na kumuonyesha kwamba hana discipline hata kwa wakubwa wa chama chake. Sasa huyu asiyeweza kunyenyekea hata wakubwa wa chama chake anaweza kuwanyenyekea wananchi?
Uzuri upo kwa mtazamaji, wewe utaona mzuri wengine watasema anahitaji kwenda gym.
Isitoshe, uzuri unahusiana vipi na umahiri wa mbunge? Kwani ubunge ni beauty contest?
Migomo ya vyuo, unaonyesha wewe ni insider wa Chadema, kwa vile lengo la muanzisha thread ni kumfagilia Mhe. Regia Mtema ambaye ni mbunge wa chama chako, hivyo ni kiongozi wako, wewe kama mwanachama mtiifu, hukupaswa kuyaleta hayo mambo yake ya ndani humu!. Maadam lengo la thread ni fagilia, wewe kama hufagilii unajinyamazia tuu maana mbunge wenu akifagiliwa chama chenu pia kinazidi kupaa!.ni kweli amepewa sifa zote hizo ni zake, ila akumbuke nidhamu yake iko chini kwani nikikumbuka Igunga aliwahi kumjibu majibu ya kunya Dr Slaa kwamba gari ni la ubunge wake na aliupata kwa jasho lake na kama ubunge ni rahisi hata dr angekuwa mbunge hivyo asione mtu akimfuatafuata kimsingi niliumia sana kwani Dr aliondoka kimya bila kutia neno. je hiyo ndiyo sababu iliyomfanya awe mwanamke mahiri kwanini Sii HALIMA MDEE aliyepambana kiume na tumekomaa nae kule igunga porini mwanzo mwisho hakuwahi kukimbilia mjini kama huyo mtema na kina Heche?
Haya mambo ya "she is beautiful" si ndiyo haya haya CHADEMA mnawabonda kila siku watu waliomchagua Kikwete kwa msingi wa kwamba eti ni "handsome"?. Sasa hiki chama ambacho kinatakiwa kuwa mbadala, kinatuletea habari hizi hizi?
Kama unaona "she is beautiful/ handsome" kanywe naye chai, hilo linahusiana nini na uongozi?
Muanishaji wa hii thread kwa kuweka upupu kama huu katika vitu alivyoangalia kumpa umahiri kashatuonyesha kwamba standards zake ziko chini kweli kweli.
Wewe acha kutia aibu hapa,kwani haya ni mawazo ya CDM au ya kwangu? una uhakika CDM walimchagua kwasababu ya uzuri wake? Haya ni mawazo yangu binafsi na yasihusihwe na chama changu hata kidogo...kama una la kuchangia nenda kafanya kazi zingine...
Kakemea wageni waondoke morogoro warudi kwao!!
Hiyo si distinction, sanasana ni xenophobia na kutoelewa dynamics za globalization.
Umasikini wetu hauwezi kuletwa na wageni. Na hatutatui kitu kwa kufukuza wageni kama hatuwezi kufanya kazi wenyewe.Tunatafuta mchawi.
Migomo ya vyuo, unaonyesha wewe ni insider wa Chadema, kwa vile lengo la muanzisha thread ni kumfagilia Mhe. Regia Mtema ambaye ni mbunge wa chama chako, hivyo ni kiongozi wako, wewe kama mwanachama mtiifu, hukupaswa kuyaleta hayo mambo yake ya ndani humu!. Maadam lengo la thread ni fagilia, wewe kama hufagilii unajinyamazia tuu maana mbunge wenu akifagiliwa chama chenu pia kinazidi kupaa!.
Kuweka kumbukumbu sawa
Alisema hivi bungeni 'wasio wazawa wa Morogoro waondoke' akirejelea Watanzania wa kawaida.
Siku ya pili, alifuta kauli yake hiyo bungeni.
Kwa hiyo hakuwa akizungumzia wageni kutoka nje ya nchi, alikuwa anazungumzia Watanzania wengine msiruhusiwe kumiliki ardhi Morogoro kama hamkuzaliwa huko.
Is this the best you can come up with?
:A S thumbs_down:To me Regia Mtema is another shouter in the political arena.She is poor in discipline and also ''limbukeni'' in politics, so i don't wonder any of her misbehavior to any body apart from her part Secretary General (slaa).
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kuniambia kuwa Mungu anasababu zake katika kuumba watu wa aina hii.In most cases, most of them (disabled) ni wakorofi basing on their inferiority.
Kuna wengine wanaweza kusema ni mkabila kwa sababu ile ni Fraeudian slip tu, na alifuta kauli yake ili kujikosha tu
Mkuu Kiranga, with due respect, the motive behind hii thread ni consolation kwa Mhe. Regia Mtema kufuatia ile thread nyingine ya Wanawake 10 wa shoka Tanzania, kwa vile kule Mhe. Regia hayupo na kwa mujibu wa muanzisha mada kwake Mhe. Regia ndiye angestahili kuwa number 1 na vigezo vyake ndio hivyo kaviweka pia vikijumuisha gender yake, visibility yake, body mophology na ability etc.Nimeambiwa mbunge mahiri, umahiri hauji bila kazi inayoonekana, ndio maana nikataka kujua sababu za umahiri huu ni zipi ili tujue umahiri unaendana na kazi yake au la.
Precisely,
Huu ndio umahiri wenyewe?
Labda kwa kauli yake hii
"Makinda is a good Speaker ever. I admire her. Tatizo lenu ni mfumo dume unawasumbua. She is Democratic."
....the motive behind hii thread ni consolation kwa Mhe. Regia Mtema kufuatia ile thread nyingine ya Wanawake 10 wa shoka Tanzania, kwa vile kule Mhe. Regia hayupo na kwa mujibu wa muanzisha mada kwake Mhe. Regia ndiye angestahili kuwa number 1 na vigezo vyake ndio hivyo kaviweka pia vikijumuisha gender yake, visibility yake, body mophology na ability etc.
Wajameni hebu waacheni fans wawasifu watu wao this is festival season!.
Kitendo tuu cha mwanamke kujaza form kugombea jimbo kwa kuzingatia hali aliyonayo dada huyu ni ushujaa tosha wa kustahili pongezi kwa sababu huko Chadema kuna wanawake wengi wamebwetekea viti maalum tuu. This means she is a dare devil with a darring heart!.