Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Nakumbuka sana changamoto nilizokua nimekutana nazo by the time najiunga Jf, binafsi yangu nimepata kuwasaidia maelekezo Members wenzangu wa4 namna ya kujiunga Jf.
Tofauti na mimi wakati najiunga sikubahatika kupata aid kutoka popote.
Nilicheza na mai-instructions frm A to Z , wakati mwingine instructions nilikua nikizielewa visivyo na uhalisia wake !
Wakati huo nikiwa muumini mzuri wa Fcbk, sikukata tamaa, nikaparangana hatimae nikafanikiwa, na mara nilipothibishiwa as a member complited, nikatumia kama siku 3 hivi nikisoma mazingira kwa kusoma post za members.
Sikuwa nikifahamu hapo nitakapohitaji nami kutoa post nitalazimika kujisajili upya! Kitu nilichokifahamu baadae.
Na nilipofika wakati wa ku'creat Thread nakumbuka Sredi zangu za kwanza-kwanza zilikua za Kishambashamba na siku baada ya nikajikuta taratibu natambua nini ni nini !
Leo natambua chochote kile ukianzacho siku za awali hakikosi ushamba flani, na usio ujinga.
Hivyo ndivyo niaminivyo mie sijui wenzangu kama kuna aliyepata changamoto flani flani wakati anajoin Jf. Naimani kuna waliojoin kiulaini , au vinginevyo.
Hakuna ubaya nawe my fellow member utakaepita hapa ukanipa nawe ulivyopitia hatua za hadi kufikia kua Jf member.
Tofauti na mimi wakati najiunga sikubahatika kupata aid kutoka popote.
Nilicheza na mai-instructions frm A to Z , wakati mwingine instructions nilikua nikizielewa visivyo na uhalisia wake !
Wakati huo nikiwa muumini mzuri wa Fcbk, sikukata tamaa, nikaparangana hatimae nikafanikiwa, na mara nilipothibishiwa as a member complited, nikatumia kama siku 3 hivi nikisoma mazingira kwa kusoma post za members.
Sikuwa nikifahamu hapo nitakapohitaji nami kutoa post nitalazimika kujisajili upya! Kitu nilichokifahamu baadae.
Na nilipofika wakati wa ku'creat Thread nakumbuka Sredi zangu za kwanza-kwanza zilikua za Kishambashamba na siku baada ya nikajikuta taratibu natambua nini ni nini !
Leo natambua chochote kile ukianzacho siku za awali hakikosi ushamba flani, na usio ujinga.
Hivyo ndivyo niaminivyo mie sijui wenzangu kama kuna aliyepata changamoto flani flani wakati anajoin Jf. Naimani kuna waliojoin kiulaini , au vinginevyo.
Hakuna ubaya nawe my fellow member utakaepita hapa ukanipa nawe ulivyopitia hatua za hadi kufikia kua Jf member.