Jamaa hapo juu utafukuza waislam uliowaajiri kwani wewe hazina? Au we ndio kampun pekee! Kauli zako hazina mashiko,sifikirii msomi kama wewe ungeweza kuongea pumba kama hizo.wenye akili timamu wanachangia na kutafakari hasa ni waislam wote wanaofanya hizo fujo? We unaibuka na hilo la ajira! Ahahaaa!
Sasa kilichokufurahisha nini hapo mpaka unacheka kishambenga namna hiyo? Ndiyo keshaamua kufukuza waisilamu ukitaka fungua duka la tende na halua uwaajiri atakaowatimua! Si mnasema mfumo kristo? Leo unaona hasira wanapotimuliwa kazi? Dharau mbaya sana!