Kwako mpenzi . . . .

Afrika Furaha

JF-Expert Member
Dec 16, 2010
329
9
mmmmmmmm.jpg

Enzi hizo najifunzaga mambo makubwa
 
Kabarua haka kamenikumbusha mbali sana, endelea kukahifadhi kaendelee kutukumbusha tulikotoka.
 
haha, niandikie basi na mimi kabarua kama hako

Dia Miss Judy

mi nakupenda sana Judy, si unakumbuka tulivyocheza kombolela. Si ulikuwa unasikia raha?? Kule ktk michongoma anakujaga John andunje, atatuonea donge njoo kwetu basi, unajifanya unakuja kwa best wako Jeni. Halafu jeni ataitwa na mama, si tunaingia bafuni. Sema basi, shosti hajui kupigana hakufanyi kitu

kama hunitaki sema, ni ntacheza kimama-mama na afrodenzi, Rose na wenzake.
Ni mimi mdokozi
Jaba
 
Dia Miss Judy

mi nakupenda sana Judy, si unakumbuka tulivyocheza kombolela. Si ulikuwa unasikia raha?? Kule ktk michongoma anakujaga John andunje, atatuonea donge njoo kwetu basi, unajifanya unakuja kwa best wako Jeni. Halafu jeni ataitwa na mama, si tunaingia bafuni. Sema basi, shosti hajui kupigana hakufanyi kitu

kama hunitaki sema, ni ntacheza kimama-mama na afrodenzi, Rose na wenzake.
Ni mimi mdokozi
Jaba

mi nataka kalikoandikwa kwa mkono kama hako ulikotubandikia, sio haka ulikoandika kwa keyboard! please niandikie sweet
 
mi nataka kalikoandikwa kwa mkono kama hako ulikotubandikia, sio haka ulikoandika kwa keyboard! please niandikie sweet

Daah! Nimekosa mtu wa kuniita SWEET humu ndani, wewe ndo wa kwanza. Ngoja nikuandikie kweli . . . maana umenipa hamasa tayari
 
Daah! Nimekosa mtu wa kuniita SWEET humu ndani, wewe ndo wa kwanza. Ngoja nikuandikie kweli . . . maana umenipa hamasa tayari

eee, fanya chapchap basi manake mwenzio sijawahi kuandikiwa kama hako, si unajua tena enzi zetu hizi?
 
Back
Top Bottom