Afrika Furaha
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 329
- 9
isha wahi kuwa posted humu hii
nzuri lakini, vipi ulimpata huyo natasha?
Sikapendi hako kabarua.
Kila sehemu unakakuta
mi namtaka Miss Jud
haha, niandikie basi na mimi kabarua kama hako
Dia Miss Judy
mi nakupenda sana Judy, si unakumbuka tulivyocheza kombolela. Si ulikuwa unasikia raha?? Kule ktk michongoma anakujaga John andunje, atatuonea donge njoo kwetu basi, unajifanya unakuja kwa best wako Jeni. Halafu jeni ataitwa na mama, si tunaingia bafuni. Sema basi, shosti hajui kupigana hakufanyi kitu
kama hunitaki sema, ni ntacheza kimama-mama na afrodenzi, Rose na wenzake.
Ni mimi mdokozi
Jaba
mi nataka kalikoandikwa kwa mkono kama hako ulikotubandikia, sio haka ulikoandika kwa keyboard! please niandikie sweet
Jaba-li kuitwa sweet tu unahamasika,je ukibusiwa itakuwaje?Daah! Nimekosa mtu wa kuniita SWEET humu ndani, wewe ndo wa kwanza. Ngoja nikuandikie kweli . . . maana umenipa hamasa tayari
Daah! Nimekosa mtu wa kuniita SWEET humu ndani, wewe ndo wa kwanza. Ngoja nikuandikie kweli . . . maana umenipa hamasa tayari
Jaba-li kuitwa sweet tu unahamasika,je ukibusiwa itakuwaje?