Huku akijua kabisa kuwa idadi ya wabunge walioitikia hoja ya mheshimiwa wenje ya kutaka gharama za malipo ya muda wa hewani kubaki kama awali ilikuwa kubwa, mama Makinda alidai kuwa idadi ya wabunge walioitikia ndiyoooo kukubaliana na ongezeko hilo walikuwa wengi. Hali hii ilijidhihilisha hapo jana wakati wa kupitisha "financial bill" kwa wizara ya fedha.
MY TAKE: Watanzania wote tunaotumia mitandao ya simu hasa walalahoi, huyu ndiye ndiye adui yetu katika hili na utaratibu wa "ndiyooooooo" upigwe marufuku ili kuruhusu upigaji kura
MY TAKE: Watanzania wote tunaotumia mitandao ya simu hasa walalahoi, huyu ndiye ndiye adui yetu katika hili na utaratibu wa "ndiyooooooo" upigwe marufuku ili kuruhusu upigaji kura