Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,770
- 78,444
Naomba uniambie ni vigezo gani unatumia kuendelea kumuweka Mh Ngeleja kama waziri wako wa Nishati na Madini? Juzi hapa tumepandishiwa bei ya umeme kwa unit ya umeme (40%) na pia tumesikia zaidi ya dolla za marekani 50 zimepotea! Wewe unaonaje kuhusu hili swala?
Je wapendezwa nalo? Na kama hapana kwa nini asijiuzulu kupisha uchunguzi? je huu uchunguzi unaoendelea unadhani utatimiza malengo kwa huyu Mh kuendelea kukalia kiti kile cha Uwaziri pale Nishati na Madini? Uzalendo umeenda wapi Mh. Rais maana hiki kinachoendelea kinaendana kinyume na madhumuni ya kupandisha bei umeme ukiachia mbali wahusika walijisahaulisha kwamba kuna financial institutions ambazo zingeweza kuikopesha TANESCO katika hicho inachopanga!
Chondechonde Mh tusije kukatana mapanga, ubadhirifu huu hauvumiliki na tunakoelekea si kuzuri!
Je wapendezwa nalo? Na kama hapana kwa nini asijiuzulu kupisha uchunguzi? je huu uchunguzi unaoendelea unadhani utatimiza malengo kwa huyu Mh kuendelea kukalia kiti kile cha Uwaziri pale Nishati na Madini? Uzalendo umeenda wapi Mh. Rais maana hiki kinachoendelea kinaendana kinyume na madhumuni ya kupandisha bei umeme ukiachia mbali wahusika walijisahaulisha kwamba kuna financial institutions ambazo zingeweza kuikopesha TANESCO katika hicho inachopanga!
Chondechonde Mh tusije kukatana mapanga, ubadhirifu huu hauvumiliki na tunakoelekea si kuzuri!