Swali langu linahusu taasisi inayoitwa takukuru naomba swali hili uniulizie bungeni nikiwa kama mlipa kodi wa nchi hii.
Takukuru mwaka 2010 ilitumia kiasi gani cha fedha kwa mwaka mzima??
Walipokea malalamiko mangapi na mangapi kati yao waliweza kuyafanyia kazi??
Kati ya hayo malalamiko waliyopokea ni mangapi waliweza kuyafikisha mahakamani??
Kati ya hayo waliyoyafikisha mahakamani ni mangapi walishinda na mangapi walishindwa ??
Ni watu wangapi walifungwa mwaka mzima wa 2010 ikiwa ni matokeo ya uchunguzi wa takukuru???
Swali la niongeza:
Litokane na jibu la mheshimiwa waziri nalo swali litakuwa je kiasi cha fedha kilichotumiwa mwaka 2010 je kinalingana na matokeo ya kazi waliyoifanya???
Does the perfomance worth the money the country is spending on it??? je haoni kuwa kama fedha hizo zilizotumika zingeweza kuwa manufaa zaidi
kama zingejenga shule au hospitali badala ya kutumika kuwafunga watu wanne kwa mwaka mzima???
Takukuru mwaka 2010 ilitumia kiasi gani cha fedha kwa mwaka mzima??
Walipokea malalamiko mangapi na mangapi kati yao waliweza kuyafanyia kazi??
Kati ya hayo malalamiko waliyopokea ni mangapi waliweza kuyafikisha mahakamani??
Kati ya hayo waliyoyafikisha mahakamani ni mangapi walishinda na mangapi walishindwa ??
Ni watu wangapi walifungwa mwaka mzima wa 2010 ikiwa ni matokeo ya uchunguzi wa takukuru???
Swali la niongeza:
Litokane na jibu la mheshimiwa waziri nalo swali litakuwa je kiasi cha fedha kilichotumiwa mwaka 2010 je kinalingana na matokeo ya kazi waliyoifanya???
Does the perfomance worth the money the country is spending on it??? je haoni kuwa kama fedha hizo zilizotumika zingeweza kuwa manufaa zaidi
kama zingejenga shule au hospitali badala ya kutumika kuwafunga watu wanne kwa mwaka mzima???