The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,884
mkuu unakosea huwezi kuishi kama upo ugenini na hali upo nchini na nina uhakika yanayofanyika humu nchini yanakugusa. siasa si kwa ajili ya wanasiasa inamgusa kila mtu na kumuaffect kwa namna moja ama nyingine. na kwa uzalendo zaidi huwezi kusema unamind bussiness zako kwani unajidanganya mkuu. hizo business zako zinaafectiwa na namna nchi hii inavyopelekw kila mtu akimind business zake nani ataikomboa nchi.
naamini wewe ni mzalendo ila hujaamua ama umekata tamaa. kupiga kelele na kulalamika ni sehemu ya kuleta mabadikilo kwani inaprove that there is conflict in the society, and karl marx once said conflict leads to change in any society.
mimi huwa napiga kura...nalipa kodi...
it is enough kwa kuchangia mabadiliko,sio?