Kwako JK (Shairi)

mkuu unakosea huwezi kuishi kama upo ugenini na hali upo nchini na nina uhakika yanayofanyika humu nchini yanakugusa. siasa si kwa ajili ya wanasiasa inamgusa kila mtu na kumuaffect kwa namna moja ama nyingine. na kwa uzalendo zaidi huwezi kusema unamind bussiness zako kwani unajidanganya mkuu. hizo business zako zinaafectiwa na namna nchi hii inavyopelekw kila mtu akimind business zake nani ataikomboa nchi.
naamini wewe ni mzalendo ila hujaamua ama umekata tamaa. kupiga kelele na kulalamika ni sehemu ya kuleta mabadikilo kwani inaprove that there is conflict in the society, and karl marx once said conflict leads to change in any society.

mimi huwa napiga kura...nalipa kodi...
it is enough kwa kuchangia mabadiliko,sio?
 
mimi huwa napiga kura...nalipa kodi...
it is enough kwa kuchangia mabadiliko,sio?

The Boss sikia, hii issue ni muhimu,
Kodi unayoilipia, wenzako wanatudhulumu,
Kodi inatokea kwenye bia,mwisho itatokea kwenye ndumu,
Hii nchi bana, yaani we acha tu.

Hivi ni kwanini, kiuchumi tuteseke,
Yaani mpaka lini, maishani tusote,
Mbona hatuwini, Nchi yetu sote,
Hii nchi yaani, kweli acha tu.

Madini tumejaaliwa, Mito mpaka Bahari
Ongeza na Maziwa, Mbuga nazo ni Mali,
Siasa tunaimbiwa, Ufisadi umekua ufahari,
Hii nchi kwa kweli, mbona vingi vioja??
 
Ari Mpya Kasi Mpya, Ahadi ulituletea
Vilevile Nguvu Mpya, Mbele Uliongezea
Ukweli Maisha Mapya, Kwako tulitegemea,
Chonde Chonde Mkuu, Mtaani ni Kugumu.



Mbona watutenga, nasi tulikuchagua,
Imani tulijenga, Daktari kutuagua,
Machozi yanilenga, Njaa yanikwangua,
Chondechonde mkuu, Mtaani Kugumu.

Ambae hamkunichagua
Leo mnanililia kuwasaidia?
Na bado mtakoma
Mnajifanya mna AMANi saana!
Sasa mi nawapiga danadana
Wabongo bwana,waoga kama giza mchana
Mnachojua kuongea kama wangoni songea
Ikulu lulu unapiga kisha unajongea
Hili trela picha lowassa mnaemfagilia
Mtalia nguruwe Msikitini akiingia:eyebrows:


 
Ari Mpya Kasi Mpya, Ahadi ulituletea
Vilevile Nguvu Mpya, Mbele Uliongezea
Ukweli Maisha Mapya, Kwako tulitegemea,
Chonde Chonde Mkuu, Mtaani ni Kugumu.



Mbona watutenga, nasi tulikuchagua,
Imani tulijenga, Daktari kutuagua,
Machozi yanilenga, Njaa yanikwangua,
Chondechonde mkuu, Mtaani Kugumu.

Mtaani kugumu kivipi?
Hata pipi huwa ngumu kabla ya kumung'unya
mwalim r.i.p tuliobaki makapi
mna vipaji vya kuomba km matonya
hamfikii maendeleo kwa fikra fupi
ukiwa na ndizi kwanza menya
yaani buni acha kukopi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom