Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,186
- 79,381
uwe unafunga hilo domo lako katika mambo yoote yenye tija dhidi ya ubadhirifu wa rasilimali zetu maana hujielewi Bwana Mheshimiwa na jaribu kutembelea Mirembe kidogo khaaa....! :A S angry:
Binfsi nimem_PM kumualert kuhusu hii thread, na kumpa link ya uzi.
He cannot claim unawaress of the thread.
Simply ignored it.
He is haunted from within.
Ndugu zangu wanabodi,
Mimi sijawahi kuwa mnafiki, at least kwa alama tatu za mnafiki kama tunavyofundishwa sisi waislamu. Kwa faida ya mjadala huu, niseme alama zenyewe. Moja ni kuwa akitoa ahadi hatekelezi. Mbili, ni akiaminiwa anahalifu na tatu, akizungumza husema uongo. Namshukuru Mungu sina hata moja ya alama hizi na hivyo kushindwa mtihani wa kuwa 'mnafiki'. Ungeniita mnafiki kama nisingekuwa tayari kutoa maelezo ya maamuzi yangu, ama kama ningewasaliti CCM na kupeleka siri za huku kule, ama kama ningeahidi kuunga mkono hoja hiyo kisha nikakimbia. Leo hii mimi niko chama kimoja tu, CCM, na nitafanya mambo yanayokubalika ndani ya CCM. Siku nikihamia CHADEMA/CUF/NCCR basi nitafanya ya huko bila kusaliti kule na kurudisha CCM ama kupeleka kokote kule kinyume na utaratibu. Huo ndiyo msimamo wa ukweli na siyo unafiki.
Wakatabahu,
HK.
safi sana, you've gone an extra mile, chukua mobile thanks hiyo.