measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Wanabidi,
Dr Kigwangalla amekuwa mstari Wa mbele katika kupinga ufisadi akianzia kudai mikataba ya Madini, kuwatetea madaktari wenzake. Leo kajificha wapi haonekani kupinga madudu haya ya serikali na wala hatukuona jina lake katika sole saini 70 zilizotakiwa na Zitto. Je ni kweli Ana uchungu na nchi hii au ni dramas?
Dr Kigwangalla amekuwa mstari Wa mbele katika kupinga ufisadi akianzia kudai mikataba ya Madini, kuwatetea madaktari wenzake. Leo kajificha wapi haonekani kupinga madudu haya ya serikali na wala hatukuona jina lake katika sole saini 70 zilizotakiwa na Zitto. Je ni kweli Ana uchungu na nchi hii au ni dramas?