engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana bodi,nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hili swali na bado mpaka leo sijapata jibu kichwani mwangu labda mnisaidie ili niweze kukituliza kichwa changu kutoka katika kulifikilia hili kila wakati
Kila nisikiapo tangazo lolote lile katika vyombo vyetu vya habari basi mwishowe utasikia kibwagizo kikisema KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI
Je inamaana bila HISANI yao hayo matangazo ama hiyo misaada isingekuwepo? na inakuwaje wamarekani watoe hisani Tanzania wakati kila nikisikiliza habari za USA Watu wake hususani vijana wanalalamika kuwa hakuna kazi na bado wanamahitaji mengi sana ambayo ilitakiwa hisani hiyo Tuipatao Tanzania wangepatia vija wa kimarekani wasiokuwa na kazi wala mwelekeo
Kwa mfano tukikataa Hisani yao wamerikani watatufanya nini? kwani ni lazima kila kitu kiwe ni kwa hisani ya watu wa marekani? ama ndio UKOLONI MAMBOLEO ulivyo.
Wanajamvi ama viongozi wetu wanaogopa kukataa Hisani hizo kwani yaweza tokea ya Libya,maana hakuna ubishi kuwa USA kwa kofia ya NATO ndio waliofadhili kilichotokea Libya
TUTAFIKA KWELI KWA HISANI HIZI ZA WATU WA MAREKANI?
Kila nisikiapo tangazo lolote lile katika vyombo vyetu vya habari basi mwishowe utasikia kibwagizo kikisema KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI
Je inamaana bila HISANI yao hayo matangazo ama hiyo misaada isingekuwepo? na inakuwaje wamarekani watoe hisani Tanzania wakati kila nikisikiliza habari za USA Watu wake hususani vijana wanalalamika kuwa hakuna kazi na bado wanamahitaji mengi sana ambayo ilitakiwa hisani hiyo Tuipatao Tanzania wangepatia vija wa kimarekani wasiokuwa na kazi wala mwelekeo
Kwa mfano tukikataa Hisani yao wamerikani watatufanya nini? kwani ni lazima kila kitu kiwe ni kwa hisani ya watu wa marekani? ama ndio UKOLONI MAMBOLEO ulivyo.
Wanajamvi ama viongozi wetu wanaogopa kukataa Hisani hizo kwani yaweza tokea ya Libya,maana hakuna ubishi kuwa USA kwa kofia ya NATO ndio waliofadhili kilichotokea Libya
TUTAFIKA KWELI KWA HISANI HIZI ZA WATU WA MAREKANI?