Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,783
Ile kampuni giant na kongwe ya simu nchini, imeuzwa na vodafone wanatake over, huku upande wa operations L-link watakuwa wakisimamia
wafanyakazi wameshaanza kupewa barua, ila haijulikani kama watalipwa fedha za mwaka mzima kama sheria ya nchi inavyosema.
Hali imekuwa tete! sijui wateja itakuwaje maana kampuni ya L-link hailipi vizuri.
Je ni mafisadi wameona kuwa Slaa ni RAIS? au wameshatengeneza faida?
mwenye details anaweza kuongezea but so far this is the case.
wafanyakazi wameshaanza kupewa barua, ila haijulikani kama watalipwa fedha za mwaka mzima kama sheria ya nchi inavyosema.
Hali imekuwa tete! sijui wateja itakuwaje maana kampuni ya L-link hailipi vizuri.
Je ni mafisadi wameona kuwa Slaa ni RAIS? au wameshatengeneza faida?
mwenye details anaweza kuongezea but so far this is the case.